
Beki Namungo aaga akihusishwa Simba
BAADA ya sintofahamu kama aliyekuwa beki wa Namungo, Antony Mligo anaweza kujiunga na Simba dirisha hili kutokana na kuwa na mkataba na waajiri wake sasa ni rasmi amethibitisha kuwa ni Mnyama baada ya kuaga. Simba iliiomba Namungo kumtazama mchezaji huyo kabla ya kumsajili jambo ambalo lilifanyika na sasa ni rasmi nyota huyo ataitumikia Simba msimu…