SERA ZA AIDANI KWEZI GUMZO SEGEREA, WAPAMBE WAANZA UPOTOSHAJI

::::: Kinyang’anyiro cha kupata mgombea ndani ya Chama cha Mapinduzi kimezidi kupamba moto, wakati wagombea wakiendelea kujinadi na kuomba kura kwa wajumbe ndugu AIDANI KWEZI amendelea kufanya vizuri kupitia Sera zake zikionekana kugusa mahitaji ya Wanasegerea. Hali hii imepelekea wapambe wa wagombea wengine kuanza propoganda za upotoshaji wakiona mwitikio na imani ya wajumbe juu ya…

Read More

WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE ZASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA KILIMO DODOMA

:::::: Wizara ya Nishati na Taasisi zilizo chini yake zinashiriki Katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo  ambayo  yameanza Tarehe 1  Agosti Katika Viwanja Nzuguni Jijini Dodoma. Maonesho hayo yamebebwa na kaulimbiu iya ” Chagua Viongozi Bora kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi 2025″,  Katika maonesho hayo ambayo yamefunguliwa na   Makamu wa Rais, Dkt. Philip…

Read More

Mawakili wa Lissu waliibua Jeshi la Magereza

Dar es Salaam. Wakati mawakili wa Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu wakilalamikia vitendo walivyoeleza vya ukiukwaji wa haki dhidi ya mteja wao vinavyodaiwa kufanywa na askari Magereza, jeshi hilo limekana madai hayo. Jeshi la Magereza katika taarifa yake limesisitiza kuwa, mahabusu au mfungwa anapokuwa chini ya himaya ya jeshi hilo, ni lazima awajibike “kufuata na…

Read More

Biashara katikati ya vumbi mtego kwa afya

Dar es Salaam. Licha ya ongezeko la shughuli za ujenzi wa miundombinu jijini, ikiwemo barabara, biashara za aina mbalimbali, zikiwemo za vyakula zinaendelea kufanyika pembezoni mwa maeneo yenye vumbi jingi, hali inayoweka afya za walaji hatarini. Vumbi linalopeperushwa hewani huambatana na chembechembe za uchafu na vimelea vya magonjwa, hali inayotajwa na wataalamu wa afya kuwa…

Read More

Jengo jipya kuboresha miundombinu ya utafiti Tanzania

Dodoma. Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imesema ujenzi wa jengo jipya jijini Dodoma ambalo linagharimu Sh8 bilioni ni sehemu ya mikakati ya Serikali kuboresha miundombinu ya utafiti na ubunifu nchini. Mwenyekiti wa COSTECH, Profesa John Kondolo ameyasema hayo jana Ijumaa Agosti 1 2025 wakati alipokuwa akikagua jengo hilo ambalo litakuwa ni makao makuu ya…

Read More

Watoto hawa hatarini kupata utapiamlo, tatizo liko hapa

Shinyanga. Watoto wasionyonyeshwa kikamilifu kwa miezi sita na wanaoanzishiwa vyakula mbadala mapema, wapo katika hatari ya kupata tatizo la utapiamlo, wataalamu wa afya wameonya. Imeelezwa kuwa hali hiyo inaweza kuchangia mtoto kupata utapiamlo, hii moja kwa moja inasababishwa na ulaji usiofaa na magonjwa yanayompata mtoto. Takwimu za Wizara ya Afya zinaonyesha asilimia 86 ya watoto…

Read More

18 wapenya usaili RT,  Ikangaa, Isangi wajiondoa

Kuelekea uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), unaotarajiwa kufanyika Agosti 16 mwaka huu jijini Mwanza, wagombea 18 wamefaulu katika mchujo wa awali. Mchakato huo umetawaliwa na matukio ya kushtua ikiwemo kujiondoa kwa nyota wa zamani wa riadha nchini, Juma Ikangaa  pamoja na rais aliyemaliza muda wake, Silas Isangi ambao walitangaza uamuzi huo wakiwa…

Read More

Kwa Mkapa kila kitu shwari

UTARATIBU wa kuingia Uwanja wa Benjamin Mkapa unaotarajiwa kupigwa mechi ya ufunguzi wa michuano ya Chan kati ya Tanzania na Burki Faso umezingatia ustaarabu. Kabla ya mageti kufunguliwa nyomi ya watu ilijaa nje ya uwanja, wakisubiri kuingia ili kushuhudia mechi hiyo inayotarajiwa kuchezwa kuanzia saa 2:00 usiku, lakini baada ya kuruhusiwa kila kitu kinakwenda bila…

Read More