
NMB YAJIDHATITI KUSAIDIA WAKULIMA, WAFUGAJI NA WAVUVI KUPITIA MAONESHO YA NANE NANE
::::::: NMB yajidhatiti kusaidia wakulima, wafugaji na wavuvi kupitia maonesho ya Nane Nane Mkuu wa Kitengo cha Biashara Serikalini kutoka Benki ya NMB, makao makuu, Vicky Bishubo, amesema wamepanga kutumia maonesho ya wakulima Nane nane kutoa elimu kwa wananchi kutambua fursa zinazotolewa na benki hiyo katika sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi nchini. Bishubo, alisema…