Benki ya Exim Tanzania Yazindua Elite Banking

Benki ya Exim Tanzania Yazindua Elite Banking Dar es Salaam: Katika hatua ya kihistoria ya kuendeleza ahadi yake ya kuwapa wateja wake huduma bora, Exim Bank imebadilisha maana ya huduma za kibenki za kipekee kwa kuzindua rasmi huduma yake ya ‘Elite Banking’. Uzinduzi huu ulifanyika katika hafla iliyohudhuriwa na watu maalum katika Hoteli ya Serena,…

Read More

NEMC YAELIMISHA UMMA KUHUSU KILIMO RAFIKI KWA MAZINGIRA MAONESHO YA WAKULIMA NANENANE

Na.Mwandishi Wetu. BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki kikamilifu katika Maonesho ya Wakulima (Nanenane) yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma, likitoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kulinda na kuhifadhi mazingira kupitia kilimo rafiki kwa mazingira. Kupitia banda lake, NEMC inatoa elimu kuhusu masuala mbalimbali ya mazingira, ikiwa ni…

Read More

PROF.MSOFE ARIDHISHWA NA UTENDAJI WA NEMC

NAIBU Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Profesa Peter Msofe,akizungumza na watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) mara baada ya kutembelea makao makuu ya Baraza hilo jijini Dar es Salaam, ikiwa ni ziara yake ya kwanza tangu kuteuliwa kushika wadhifa huo. Na.Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu…

Read More

Dk Mpango abainisha manane kwa viongozi akifungua Nanenane

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amefungua maonyesho na sherehe za wakulima, wafugaji na wavuvi (Nanenane) akisisitiza mambo manane, hawa kwa viongozi wa sasa na watakaochaguliwa kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba. Ufunguzi huo umefanyika kitaifa leo Agosti Mosi, 2025 katika Viwanja vya Nzuguni mkoani Dodoma, ikiwa na kaulimbiu isemayo: “Chagua viongozi bora kwa…

Read More

Rais Samia: K’koo ijifunze EACLC, vijana changamkie fursa za ajira

Dar es Salaam. Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiitaka Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo kwenda kujifunza ufanyajibiashara kidijitali katika Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC), amewataka vijana kuchangamkia fursa zilizopo ili kujipatia kipato. Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Ijumaa, Agosti 1, 2025 wakati akizindua rasmi kituo cha EACLC ambacho kimegharimu Sh282.7 bilioni hadi…

Read More