Opah anaendeleza uthubutu kwa wanawake

BAADA ya kutumikia timu ya wanawake ya FC Juarez kwa msimu mmoja, juzi nahodha wetu wa Twiga Stars, Opah Clement alijiunga rasmi na SD Eibar ya Hispania. Ni uhamisho ambao hapa kijiweni umetufurahisha sana kwa vile kwanza anaenda katika nchi ya kisoka hasa ambayo ina moja kati ya ligi bora za soka za wanawake. Baadhi…

Read More

Bali kortin akidaiwa kughushi wosia, akana shtaka

Dar es Salaam. Mkazi wa Pangani mkoani Tanga, Hamisi Bali amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja ya kughushi wosia. Bali amesomewa shtaka hilo leo Agosti 28, 2025 na wakili wa Serikali, Tumaini Mafuru, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Hassan Makube Akimsomewa shtaka, wakili Mafuru amesema Bali anadaiwa kutenda kosa hilo Februari…

Read More

Fursa ya Beti za Bure kwenye Non-Stop Win&Go Drop

KWA wapenzi wote wa michezo ya kasino ya mtandaoni, hii ni habari inayopaswa kukuburudisha na kusisimua moyo wako kwani Meridianbet, kampuni namba moja ya kubashiri na kasino mtandaoni, imezindua promosheni kubwa ya Non-Stop Win&Go Drop, ikiwapa wateja wake nafasi ya kupata bonasi za beti za bure hadi 500 kila siku kwa hatua rahisi tu. Hii…

Read More

Meridianbet Kuitikisa Mitaa Na Mystery Multiplier

MERIDIANBET kwa mara nyingine tena imethibitisha kuwa si tu kinara wa michezo ya kubashiri, bali pia mbunifu mkuu wa promosheni zinazobadilisha tasnianzima ya michezo ya bahati nasibu. Safari hii, kampuni hiyo imezindua kampeni mpya kabambe, Mystery Multiplier Drop Campaign, ambayo tayari imeibua gumzo kubwa kwa mashabiki wa kasino mtandaoni. Kwa kawaida, promosheni nyingi huambatana na…

Read More

Bashiri na Ushinde na Meridianbet Sasa

ALHAMISI ya leo ni nzuri sana endapo ikisindikizwa na jamvi la uhakika ndani ya Meridianbet. Timu kibao za kufuzu Europa zipo uwanjani hapo baadae kuhakikisha zinapata pointi tatu na wewe ondoka na pesa leo kwa dau lako dogo tuu. Bashiri mechi ya Kuopion Palloseura dhidi ya FC Midtjylland ya kule Denmark ambao mechi ya mkondo…

Read More

Wanne wafariki dunia , 30 wajeruhiwa shambulio Ukraine

Kyiv. Shambulio limefanywa na Jeshi la Russia nchini Ukraine, limeuwa watu wanne wakiwemo watoto wawili na kujeruhi wengine 30. Shambulio kubwa la pamoja likihusisha ndege zisizo na rubani (drone) na makombora limetokea leo, Alhamisi ya Agosti 28, 2025, katika jiji la Kyiv. Shambulio hilo linatajwa kuwa la kwanza kubwa la aina hiyo tangu Rais wa…

Read More

‘Watumia Gmail kaeni chonjo kuna kundi la wadukuzi’

Dar es Salaam. Kampuni ya Google imewataka watumaji wa huduma ya barua pepe ya mtandao ya Gmail kuwa makini kwani kuna kundi la wadukuzi wanaozilenga akaunti hizo, baada ya kufanikiwa kuiba taarifa. Google imesema watumiaji wa huduma hiyo wanaofika zaidi ya bilioni mbili duniani kote wasijibu jumbe zinazowataka kutoa nywila (Password), za akaunti zao. Google…

Read More