Ibenge: Wiki mbili tu zinatosha

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema wiki mbili jijini Arusha zitatosha kutoa uelekeo wa maandalizi ya msimu mpya, huku akiweka wazi ameona mwanga baada ya kukuutana na wachezaji  na kuzungumza na mmoja mmoja. Azam kabla ya kuondoka jijini mapema leo kwenda Arachuga, walikuwa na siku tatu za maandalizi ambapo kocha alipata nafasi ya…

Read More

Polisi waua watatu wanaodaiwa majambazi Kigoma

Kigoma/Mtwara. Watu watatu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wameuawa katika majibizano ya risasi na polisi mkoani Kigoma. Watu hao wanaodaiwa kupanga kufanya unyang’anyi kwa kutumia silaha, wanadiwa kukutwa bunduki moja AK 47, magazine 1 ikiwa na risasi 10, bunduki iliyotengeneza kienyeji, visu viwili, panga  na marungu matatu. Tukio hilo lilitokea usiku wa Julai 31, 2025 katika…

Read More

Uhakika wa taulo za kike ulivyopunguza utoro Geita

Dar es Salaam. Upatikanaji wa taulo za kike kwa ajili ya wanafunzi kujisitiri umepunguza tatizo la baadhi ya wasichana kukosa masomo kila mwezi wanapokuwa kwenye hedhi. Wasichana hao hulazimika kubaki nyumbani wakihofia kuchafuka na kuaibika mbele za watu huku wakiwa hawana uwezo wa kupata tauli hizo kila mwezi. Kwa mujibu wa utafiti uliotolewa na Taasisi…

Read More

Pesa Ipo Kwenye Mechi za Kirafiki Leo

MWEZI mpya wa 8 umekuja na faida kibao kwani mteja wa Meridianbet anaweza akatengeneza mkwanja mrefu kwa kubashiri mechi zote anazozitaka huku nafasi ya yeye kuondoka bingwa ikiwa kubwa. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. FC Augsburg watakuwa nyumbani kucheza dhidi ya Crystal Palace ya kule Uingereza ambao kwenye mechi hii ya leo ndio…

Read More

Ushirikiano wa DSE, Tira kuongeza ufanisi sekta ya fedha

Dar es Salaam. Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (Tira) imesaini Hati ya Makubaliano (MoU) na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) yenye lengo la kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya kukuza bidhaa za kifedha bunifu, hasa suluhisho za bima zinazoweza kuorodheshwa sokoni, sambamba na kuboresha elimu ya fedha kwa umma. Akizungumza Ijumaa,…

Read More