Mahakama yaamuru aliyemwibia mwajiri wake arejeshwe nchini

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Dar es Salaam, imemuamuru Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kipolisi Ilala, kuanza na kukamilisha uchunguzi wa malalamiko ya wizi yaliyowasilishwa ofisini kwake na Radhika Pankanj dhidi ya aliyekuwa mfanyakazi wake (Mukesh Menaria). Aidha, imeelekeza kuchukua hatua zote halali na zinazofaa ili kuwezesha uchunguzi huo na kuhakikisha Mukesh anarudi nchini…

Read More

Maeneo 168 yaathiriwa mabadiliko tabianchi Zanzibar

Unguja. Jumla ya maeneo 168 ya fukwe, makazi na miundombinu ya barabara yameathirika na mabadiliko ya tabianchi kisiwani hapa, kati ya hayo 25 Unguja na 143 kutoka Pemba.  Kutokana na athari  hizo, Serikali imeanzisha Mamlaka ya Mazingira yenye kitengo maalumu cha mabadiliko ya tabianchi chenye jukumu la kutoa elimu kwa jamii juu ya athari za…

Read More

Ukweli kuhusu gesi kupoteza ladha ya chakula

Dar es Salaam. Katika jitihada za nchi kuachana na matumizi ya nishati chafu kama kuni na mkaa, mjadala unaibuka mitaani kuhusu matumizi ya gesi ya kupikia na athari zake kwenye ladha ya vyakula. Wapo wanaodai kuwa vyakula vinavyopikwa kwa kutumia gesi ukiwamo wali, havina ladha ikilinganishwa na unaopikwa kwa kutumia kuni au mkaa. Lakini je,…

Read More

TANGANYIKA PACKERS CCM NI FULL HOUSE, SALUTE KWA DK. SAMIA

Said Mwishehe,Michuzi TV  NI maelfu ya wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiwemo wanachama wa CCM,wakereketwa na wapenzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza katika Viwanja vya Tanganyika Packers kushuhudia uzinduzi rasmi wa kampeni za Chama hicho tawala. Katıka viwanja hivyo ambavyo uzinduzi huo wa kampeni za CCM zinafanyika, kuna mabango mengi yenye ujumbe …

Read More

Kilosa yataja mikakati matumizi ya nishati safi ya kupikia, mikakati zaidi inakuja Morogoro

Morogoro. Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro ni miongoni mwa maeneo yanayokabiliwa na uharibifu mkubwa wa misitu unaochochewa na biashara ya kuni na mkaa. Nishati hii, inayotumika kwa wingi katika kupikia, husafirishwa kutoka Kilosa kwenda kuuzwa kwenye miji na majiji mbalimbali nchini. Agosti 6 mwaka huu, mwandishi wa makala haya alizungumza na Mkuu wa Wilaya ya…

Read More