Wakazi wa Mbezi, Kimara kupata ahueni ya foleni

Dar es Salaam. Wakati wakazi wa Mbezi na Kimara wakikumbana na adha ya foleni, Serikali imesema ujenzi wa njia nane katika Barabara Morogoro kutoka Ubungo – Kimara yenye urefu wa kilomita 5, umefikia asilimia 60. Hayo yamesemwa leo Ijumaa, Agosti Mosi, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila wakati Rais wa…

Read More

REA YATOA ZAIDI YA BILIONI 4 KUZALISHA UMEME WA MAJI LUPALI

-Utekelezaji wa mradi wafikia asilimia 98 -Bodi ya nishati Vijijini yasisitiza mradi ukamilike kwa wakati -Mradi kupunguza matumizi ya nishati isiyo rafiki na mazingira -Njombe Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imetoa kiasi cha shilingi bilioni 4.6 kwenye mradi wa kuzalisha umeme wa maji Lupali wenye uwezo wa kuzalisha kilowati 317 unaotekelezwa na shirika la Benedictine…

Read More

Yajue magari yaliyopewa msamaha na TRA

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa msamaha wa kodi kwa magari yaliyoingizwa Tanzania bila kukidhi matakwa ya Sheria ya forodha ikiwamo yaliyoingizwa nchini kwa muda bila kurudishwa yalikotoka. Mengine ni yale magari yaliyoingia Tanzania Bara kutokea Zanzibar bila kufuata taratibu za kiforodha, yaliyoingizwa nchini kwenda nchi nyingine (transit) na yakabakizwa au kutelekezwa…

Read More

Polisi mguu sawa CHAN 2024

Jeshi la Polisi nchini linaeleza limejipanga kwa kiwango cha juu kuhakikisha usalama katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024, huku likionya vikali wale wote watakaotumia mashindano hayo kufanya vitendo vya kihalifu kama wizi, uporaji au uhalifu ndani au nje ya viwanja. Michuano hiyo inatarajiwa kuanza kesho Agosti 2,…

Read More

EACLC kitakavyokuza biashara za kimataifa

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC), Dk Lisa Wang amesema Kituo hicho kitawezesha wafanyabiashara wa Tanzania kupanua biashara zao kikanda na  kimataifa. Ametoa kauli hiyo wakati wa hafla ya kufungua rasmi kituo hicho iliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan leo, Agosti Mosi 2025. Kituo hicho kimegharimu Sh282.7 bilioni…

Read More

TADB YACHANGIZA MAGEUZI SEKTA YA KILIMO NCHINI

Na Mwandishi wetu, Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita imefanikiwa kuleta mapinduzi ya kilimo kwa vitendo kupitia mikopo yenye riba nafuu na uwezeshaji wa wakulima wadogo na wa kati kupitia Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB). Hayo yamesemwa leo Agosti 1, 2025 katika viwanja vya NaneNane jijini Dodoma na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya…

Read More

CCM ilivyobadili gia angani mchakato wa udiwani

Dar es Salaam. Wakati Sekretarieti ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, imeelekeza kurudishwa kwa watiania wote wa udiwani waliokuwa wameenguliwa wakapigiwe kura za maoni, wadau wa siasa wanasema uamuzi huo ni kiashiria kwamba kulikuwa na hila wakati wa uteuzi. Uamuzi wa sekretarieti umefungua milango kwa makada wote waliochukua fomu kuomba nafasi ya udiwani katika kata…

Read More

INEC: Changamoto ya mawakala tumejirekebisha

Dar es Salaam. Tume ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema imezifanyia kazi changamoto mbalimbali mawakala katika chaguzi zilizopita na kuwa hazitatokea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Jumatano, Oktoba 29, 2025. Hakikisho hilo limetolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa INEC, Kailima Ramadhani leo Ijumaa, Agosti 1, 2025 jijini Dar es Salaam katika Kikao baina…

Read More