PROFESA MSOFE ARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA NEMC

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Profesa Peter Msofe ameonekana kuridhishwa na utendaji kazi na uwajibikaji wa watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) katika utekelezaji wa majukumu ya Mazingira hasa usimamizi wa utekelezaji wa Sheria ya Mazingira Nchini. Hayo yamedhihirika wakati alipotembelea Ofisi za Baraza jijini…

Read More

TPBRC yaja kivingine, yakomalia afya za mabondia 

KAMISHENI ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBRC) imesema ili  kuhakikisha mchezo huo unafika mbali wanapaswa kutambua na kufahamu rekodi za afya za mabondia kabla  na baada ya kupigana.  Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kamisheni hiyo, Emmanuel Saleh wakati alipokuwa katika hafla ya kusaini mkataba wa miaka mitatu na hospitali ya Hitech Sai wenye lengo la…

Read More

Profesa Lekule ateuliwa kuwa makamu mkuu mpya wa Rucu

‎Iringa. Katika juhudi za kuimarisha upatikanaji wa elimu bora kwa wanafunzi nchini, Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limemteua Profesa Chrispina Lekule kuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Katoliki cha Ruaha (Rucu). Uteuzi huo umeweka historia, kwani Profesa Lekule anakuwa mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo katika chuo hicho. ‎Uteuzi huo umetokana na kikao cha…

Read More

ETDCO YAIFIKIA KONGANI YA VIWANDA YA KWALA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wakati akiweka jiwe la msingi katika Kongani ya Viwanda ya Kwala, Mkoani Pwani, kwa ajili ya ujenzi wa viwanda 200 vya kisasa ambapo TANESCO, kupitia Kampuni Tanzu ya ETDCO, tayari imekamilisha ujenzi wa njia ya…

Read More

Hizi hapa faida za Yoga kiafya

Yoga ni  zoezi maarufu duniani lililobuniwa na wahenga wa nchini India,  kiasi cha kulifanya kuwa zoezi la kitamaduni na hatimaye kuwa maarufu nchini humo na nje ya nchi. Mamilioni ya watu duniani hulifanya sehemu ya maisha yao kwa ajili ya kuboresha afya ya mwili kiujumla ikiwamo afya ya akili.  Hii ni kutokana kuhusisha utendaji wa…

Read More

Tabia hizi za ulaji hatari kwa afya

Mwanza. Tabia ya kula chakula harakaharaka au mtu kujihusisha na shughuli nyingine wakati wa mlo kama vile kutumia simu, kuzungumza sana, kusoma au kuangalia runinga, imetajwa kuwa chanzo cha matatizo mengi ya kiafya yanayoshuhudiwa katika jamii. Wataalamu wa afya na lishe wanasema mwenendo huo una athari kubwa kiafya, ikiwemo kuvuruga mfumo wa mmeng’enyo wa chakula,…

Read More

Mama mwenye kisukari fanya haya kabla na baada ya kujifungua

Dar es Salaam. Mara tu mwanamke mwenye kisukari anapopata ujauzito, ufuatiliaji wa sukari unapaswa kuimarishwa. Viwango vya sukari hubadilika haraka katika kipindi hiki kutokana na homoni za ujauzito, na hivyo kuna haja ya kurekebisha dozi za insulini au dawa zingine mara kwa mara. Uhudhuriaji wa  kliniki unapaswa kuwa wa mara kwa mara, ukihusisha mtaalamu wa…

Read More