ANGELLAH KAIRUKI AREJESHA FOMU YA UTEUZI KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KIBAMBA KUPITIA CCM
Kibamba, Agosti 27, 2025 – Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Angellah Kairuki, amerudisha rasmi fomu ya uteuzi kwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), hatua muhimu kuelekea kuteuliwa rasmi kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Mhe. Kairuki aliwasili katika ofisi za INEC akiambatana na mgombea ubunge…