ANGELLAH KAIRUKI AREJESHA FOMU YA UTEUZI KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KIBAMBA KUPITIA CCM

Kibamba, Agosti 27, 2025 – Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Angellah Kairuki, amerudisha rasmi fomu ya uteuzi kwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), hatua muhimu kuelekea kuteuliwa rasmi kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Mhe. Kairuki aliwasili katika ofisi za INEC akiambatana na mgombea ubunge…

Read More

Njaa na magonjwa huko Gaza yatazidi tu kutoka kwa njaa ya ‘mwanadamu’: WHO-Maswala ya Ulimwenguni

Katika tahadhari ya mkondoni, shirika la UN lilisema kwamba magonjwa na njaa yataongezeka tu, isipokuwa vizuizi vyote vya Israeli vya kusaidia utoaji kwa kiwango viondolewe na ufikiaji unaruhusiwa kwenye strip. Ofisi ya uratibu wa misaada ya UN, Ochaimethibitishwa Jumatano kuwa misaada fulani inaruhusiwa kuingia kwenye enclave kila siku, lakini ni kidogo sana kukidhi kiwango kikubwa…

Read More

REA YAENDELEA KUWAUNGANISHIA UMEME WANANCHI MKOANI MANYARA

::::::;; Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imeendelea kutekeleza miradi ya nishati kwa kuunganisha wateja umeme katika maeneo ya vijijini ili kuboresha na kuhamasisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi mkoani Manyara. Hayo yamebaibishwa leo Agosti 27, 2025 na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu,…

Read More

Baltasar Engonga ahukumiwa minane jela

Dar es Salaam. Mahakama nchini Guinea ya Ikweta imemhukumu aliyekuwa mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (NFIA), Baltasar Engonga kwenda jela miaka minane kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kujitajirisha kinyume cha sheria. Ikumbukwe Engonga aligonga vichwa vya habari duniani mwaka jana 2024 baada ya kusambaa kwa kasi kwa kanda za…

Read More

Baltasar Engonga ahukumia minane jela

Dar es Salaam. Mahakama nchini Guinea ya Ikweta imemhukumu aliyekuwa mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (NFIA), Baltasar Engonga kwenda jela miaka minane kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kujitajirisha kinyume cha sheria. Ikumbukwe Engonga aligonga vichwa vya habari duniani mwaka jana 2024 baada ya kusambaa kwa kasi kwa kanda za…

Read More

PROF. KITILA MKUMBO NA KAIRUKI WAREJESHA FOMU

:::::::: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Professa Kitila Mkumbo leo Agosti 27, 2025 amerudisha fomu yake ya uteuzi wa kugombea kwenye jimbo hilo ili kuteuliwa na Tume Huru ya Uchaguzi(INEC). Kitila ambaye amekuwa Mbunge wa jimbo hilo kuanzia mwaka 2020 leo amerejesha fomu baada ya kuichukua Agosti…

Read More