NEMC YAELIMISHA UMMA KUHUSU KILIMO RAFIKI KWA MAZINGIRA MAONESHO YA WAKULIMA NANENANE

Na.Mwandishi Wetu. BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki kikamilifu katika Maonesho ya Wakulima (Nanenane) yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma, likitoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kulinda na kuhifadhi mazingira kupitia kilimo rafiki kwa mazingira. Kupitia banda lake, NEMC inatoa elimu kuhusu masuala mbalimbali ya mazingira, ikiwa ni…

Read More

PROF.MSOFE ARIDHISHWA NA UTENDAJI WA NEMC

NAIBU Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Profesa Peter Msofe,akizungumza na watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) mara baada ya kutembelea makao makuu ya Baraza hilo jijini Dar es Salaam, ikiwa ni ziara yake ya kwanza tangu kuteuliwa kushika wadhifa huo. Na.Mwandishi Wetu NAIBU Katibu Mkuu…

Read More

Dk Mpango abainisha manane kwa viongozi akifungua Nanenane

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amefungua maonyesho na sherehe za wakulima, wafugaji na wavuvi (Nanenane) akisisitiza mambo manane, hawa kwa viongozi wa sasa na watakaochaguliwa kwenye Uchaguzi Mkuu Oktoba. Ufunguzi huo umefanyika kitaifa leo Agosti Mosi, 2025 katika Viwanja vya Nzuguni mkoani Dodoma, ikiwa na kaulimbiu isemayo: “Chagua viongozi bora kwa…

Read More

Rais Samia: K’koo ijifunze EACLC, vijana changamkie fursa za ajira

Dar es Salaam. Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiitaka Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo kwenda kujifunza ufanyajibiashara kidijitali katika Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC), amewataka vijana kuchangamkia fursa zilizopo ili kujipatia kipato. Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Ijumaa, Agosti 1, 2025 wakati akizindua rasmi kituo cha EACLC ambacho kimegharimu Sh282.7 bilioni hadi…

Read More

Mawakili, TLS wataka askari aliyemsukuma Lissu kushughulikiwa

Dar es Salaam. Mawakili wa Tundu Lissu, ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema wamelaani kitendo cha askari wa Jeshi la Magereza kumsukuma mteja wao mahakamani. Wameiomba Mahakama na Jeshi la Magereza kuchukua hatua kuzuia vitendo vinavyofanywa na askari hao. Tukio linalolalamikiwa lilitokea Julai 30, 2025 baada ya kuahirishwa kesi ya uhaini inayomkabili Lissu katika Mahakama ya…

Read More

Mbeya City yafuata beki Zenji

TIMU za Tanzania Bara zinaendelea kuvuka maji kuja visiwani Zanzibar kufanya usajili wa wachezaji kuboresha vikosi vyao kwa lengo la kujiandaa na msimu ujao wa 2025-26 wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Baada ya Yanga na Tabora United, sasa ni zamu ya Mbeya City kutua visiwani hapa kwa ajili ya kusaka saini ya beki wa KVZ,…

Read More