WMU YAJIIMARISHA KATIKA TATHMINI NA UFUATILIAJI.

…………… Na Sixmund Begashe -Dodoma  Wizara ya Maliasili na Utalii (WMU) kupitia Kitengo  cha Ufuatiliaji na Tathmini, imewakutanisha wataalam wa Ufuatiliaji na Tathmini kutoka idara, vitengo na  taasisi zake kwa lengo la kujadili na kujipanga katika kutekeleza shughuli za Ufuatiliaji na Tathmini wa Sera, Mipango, Mpango Mkakati, Ilani ya Uchaguzi (2025), miradi na programu mbalimbali…

Read More

Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kosa la kuua, kuiba bodaboda

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, iliyokaa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu dereva bodaboda, Ibrahim Othman maarufu kama Boban, kunyongwa hadi kufa, baada ya kupatikana na hatia ya kuua kwa kukusudia. Othman, anadaiwa kumuua dereva bodababoda mwenzake, aitwaye Mahmud Peya, tukio analodaiwa kulitenda Februari 4, 2023, Mbagala Kuu njia…

Read More

SERIKALI YAENDELEA KUIBORESHA ELIMU YA WATU WAZIMA

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda amesema kuwa Serikali itaendelea kuiboresha Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) ili kuwezesha Watanzania walio nje ya mfumo rasmi wa elimu kupata fursa ya kujifunza na kuongeza ujuzi. Akizungumza wakati wa kilele cha maadhimisho ya miaka 50 ya TEWW, Prof. Mkenda alisema Serikali inajivunia mafanikio…

Read More

Dk Mpango aipongeza CRDB kuwezesha wananchi kiuchumi

Buhigwe. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dk Philip   Mpango, ameipongeza Benki ya CRDB kwa mchango wake mkubwa katika kuimarisha huduma za kifedha nchini, hatua inayowezesha wananchi wengi kushiriki kikamilifu kwenye shughuli za kiuchumi. Akizindua rasmi tawi jipya la benki hiyo leo Agosti 27,2025 wilayani Buhigwe, Dk Mpango amesema hatua ya benki…

Read More