WAZIRI MKUU ATOA WITO KWA WATUNZA KUMBUKUMBU NCHINI

▪️Awataka wazingatie maadili, wadumishe uadilifu na kulinda usiri wa taarifa WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa watunza kumbukumbu wote nchini kuzingatia maadili ya kazi, kudumisha uadilifu na kulinda usiri wa taarifa zote zinazohifadhiwa kwani taarifa hizo ni nyenzo muhimu ya usalama wa Taifa na maendeleo ya nchi. Amesema kuwa Chama Cha Menejimenti ya Kumbukumbu…

Read More

Mzigo Mkubwa Upo Meridianbet Leo

JUMATANO ya kibabe hii hapa ambapo leo ni siku ya kupiga mkwanja wa maana na wakali wa ubashiri Meridianbet kwani mechi nyingi za kukupatia pesa zipo. Suka jamvi lako la ushindi siku ya leo. Mechi za Carabao leo hii Everton atamleta kwake Mansfield Town ambao wanakipiga League One kule Uingereza. Everton wao wapo EPL huku…

Read More

Mafunzo yafyeka benchi lote Zenji

BAADA ya kushindwa kuiongoza Mafunzo kufikia malengo iliyokusudia msimu uliopita uongozi umeachana na makocha wake wawili – kocha mkuu, Sheha Khamis na msaidizi wake, Abdallah Bakari ‘Edo’. Mafunzo msimu uliopita chini ya makocha hao ilimaliza nafasi ya tatu ikiwa na pointi 55 baada ya kushinda michezo 16, sare saba na kupoteza saba. Kwa mujibu wa…

Read More

Watano wafariki ajalini Tunduma, watatu wajeruhiwa

Songwe. Watu watano wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari la kubeba abiria aina ya Toyota Hiace na gari la mizigo katika eneo la Chapwa, Halmashauri ya Mji wa Tunduma mkoani Songwe. Ajali hiyo imetokea leo Agosti 27,2025 saa moja asubuhi, baada ya dereva wa gari aina ya Toyota Hiace kugongana na…

Read More

Mpina, INEC sasa mwendo wa kanuni, sheria

Dar es Salaam. Chama cha ACT-Wazalendo kimeingia vitani na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) baada ya mgombea wake wa urais, Luhaga Mpina kuenguliwa katika mchakato wa uchaguzi mkuu, hatua iliyokilazimu chama hicho kwenda mahakamani kupinga uamuzi huo kikidai ni batili na unadumaza misingi ya demokrasia. Kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi, pingamizi dhidi…

Read More