WANANCHI LAZIMA WANUFAIKE NA UWEKEZAJI- MHE. MCHENGERWA

“Hadi sasa kwa jitihada tulizozifanya mimi na Serikali yetu matunda yameanza kuonekana kwani tayari wawekezaji wakubwa katika eneo la viwanda vikubwa wameomba kuja kuwekeza kilichobaki ni kusimamia ili tuweze kuwapa fursa za ajira ambazo wameshaahidi kuzitoa kwa vijana na akina mama”. Amefafanua Mhe. Mohamed Mchengerwa Amesema katika kipindi chote akiwa Mbunge wa Rufiji amebeba ndoto…

Read More

Afisa wa UN anaamua kupigwa kwa Ukraine, anahimiza kurudi kwenye diplomasia – maswala ya ulimwengu

Mabalozi wakuu katika Baraza la UsalamaMiroslav Jenča, Katibu Mkuu-Mkuu wa Ulaya katika Idara ya Mambo ya Siasa na Amani (DPPA), alifanya upya wito wa kusitisha mapigano mara moja na kurudi kwa diplomasia kumaliza uharibifu. “Watu wa Kiukreni wamevumilia karibu miaka mitatu na nusu ya kutisha sana, kifo, uharibifu na uharibifu. Wanahitaji haraka utulivu kutoka kwa…

Read More

TANZANIA YAANZA VYEMA CHAN 2025

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TIMU ya Taifa ya mpira wa miguu Tanzania (Taifa Stars) imeanza vizuri michuano ya CHAN 2025 baada ya kufanikiwa kuichapa Burkina Faso mabao 2-0 katika mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo. Katika mchezo huo ambao ulitanguliwa na shamrashamra za sherehe za ufunguzi, Taifa Stars akiwa nyumbani uwanja wa Benjamini Mkapa…

Read More

PROFESA MSOFE AZURU BANDA LA NEMC MAONESHO YA NANENANE- DODOMA

Naibu katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Profesa Peter Msofe ametembelea Banda la NEMC lililoko viwanja vya Nanenane Nzuguni , Jijini Dodoma. Akiwa bandani hapo, alifurahishwa na elimu ya Mazingira inayotolewa hususani ya namna bora ya kufanya kilimo, uvuvi na ufugaji unaozingatia utunzaji wa mazingira kwa mstakabali wa maendeleo endelevu nchini. Amefurahishwa na…

Read More

Ushindi wa Stars wampa Morocco matumaini kibao

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, amesema ushindi wa kwanza wa timu hiyo wa michuano ya CHAN umetoa mwanga mkubwa wa kikosi hicho kufanya vizuri zaidi. Kauli ya Morocco, inajiri baada ya timu hiyo kuanza vyema michuano ya CHAN kufuatia kuifunga Burkina Faso mabao 2-0, katika mechi ya kwanza ya ufunguzi iliyopigwa kwenye…

Read More

Fei Toto: Watanzania wamefurahi | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema ni fahari kwa kikosi hicho kuanza vyema fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN), baada ya  ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Burkina Faso. Stars imepata ushindi huo wa mechi ya kwanza ya ufunguzi wa…

Read More

UBUNIFU WA KISAYANSI SUA WAMVUTIA MHE. PINDA NANENANE 2025

Farida Mangube, Morogoro  Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda, ametembelea banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika kwenye Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, mkoani Morogoro, na kuvutiwa na ubunifu na teknolojia mbalimbali zinazolenga kuboresha kilimo na maisha ya wakulima. Katika ziara hiyo, Mhe. Pinda alipokelewa na Makamu Mkuu…

Read More