Polisi: Hatutasita kumchukulia hatua atakayeenda kinyume kwenye kampeni
Dar es Salaam. “Kamwe asiwepo mmoja wetu akawa chanzo cha kukiuka sheria, kanuni na taratibu wakati wote wa kampeni na baada ya kampeni ili kuepuka vurugu au uhalifu wa aina yeyote ile kutokea.” Hiyo ni kauli ya Jeshi la Polisi Tanzania iliyotolewa kupitia msemaji wake, David Misime leo Jumatano Agosti 27, 2028 ikiwa zimesalia saa…