Stars kusaka rekodi mpya CHAN 2024

WAKATI ikibakia saa chache kabla ya kushuhudia mechi ya ufunguzi wa michuano ya Fainali za Ubingwa kwa Mataifa ya Afrika (CHAN) 2024 kati ya wenyeji timu ya taifa ya Tanzania maarufu Taifa Stars dhidi ya Burkina Faso, kikosi cha Stars kinaingia kusaka rekodi mpya kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Rekodi ambayo…

Read More

Azam FC, Yanga zaingia vitani

INAELEZWA kwamba uongozi wa Azam na Yanga umeingia katika vita nzito baada tu ya usajili wa beki ambaye pia ana uwezo wa kucheza kiungo mkabaji, Abubakar Nizar Othman ‘Ninju’, aliyesajiliwa na mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2024-2025 akitokea JKU SC ya Zanzibar. Ninju ametangazwa rasmi kujiunga na Yanga ambapo usajili wake…

Read More

‘Chakula haitoshi’ – maswala ya ulimwengu

Kupata riziki imekuwa mapambano ya kila siku, na mamia ya wanaume, wanawake na watoto husimama katika foleni zisizo na mwisho, chini ya jua kali, nje ya jikoni chache za jamii ambazo hazitumii chochote isipokuwa supu ya lenti. Jiko la jamii magharibi mwa Gaza linaonyesha panorama ya pazia zenye uchungu huku kukiwa na watu waliohamishwa wanaoteseka,…

Read More

Kwa Mkapa usalama freshi, mashabiki mdogomdogo

LICHA ya kutokuwa na vaibu kubwa la mashabiki kwa sasa, lakini hali ya usalama kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa utakaotumika kwa pambano la ufunguzi wa michuano ya CHAN kati ya Taifa Stars na Burkina Faso ni ya aina yake kutokana na polisi kuwa kila kona kuhakikisha hakutokei kihatarishi cha usalama. Leo, Agosti 2, 2025 Tanzania…

Read More

Dah! Kwa Mkapa bado | Mwanaspoti

Muonekano wa mashabiki katika Uwanja wa Benjamin Mkapa siyo kama vile ambavyo ulitarajiwa kutokana na nyomi ya ilivyokuwa nje ya uwanja mapema leo kabla ya kuruhusiwa kuanza kuingia. Kabla ya mageti kufunguliwa watu walijaa nje ya uwanja wakisubiri kuingia ili kushuhudia mechi kati ya Taifa Stars dhidi ya Burkina Faso inayotarajiwa kuchezwa saa 2:00 usiku,…

Read More

SERA ZA AIDANI KWEZI GUMZO SEGEREA, WAPAMBE WAANZA UPOTOSHAJI

::::: Kinyang’anyiro cha kupata mgombea ndani ya Chama cha Mapinduzi kimezidi kupamba moto, wakati wagombea wakiendelea kujinadi na kuomba kura kwa wajumbe ndugu AIDANI KWEZI amendelea kufanya vizuri kupitia Sera zake zikionekana kugusa mahitaji ya Wanasegerea. Hali hii imepelekea wapambe wa wagombea wengine kuanza propoganda za upotoshaji wakiona mwitikio na imani ya wajumbe juu ya…

Read More

WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE ZASHIRIKI MAONESHO YA KIMATAIFA YA KILIMO DODOMA

:::::: Wizara ya Nishati na Taasisi zilizo chini yake zinashiriki Katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo  ambayo  yameanza Tarehe 1  Agosti Katika Viwanja Nzuguni Jijini Dodoma. Maonesho hayo yamebebwa na kaulimbiu iya ” Chagua Viongozi Bora kwa Maendeleo Endelevu ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi 2025″,  Katika maonesho hayo ambayo yamefunguliwa na   Makamu wa Rais, Dkt. Philip…

Read More

Mawakili wa Lissu waliibua Jeshi la Magereza

Dar es Salaam. Wakati mawakili wa Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu wakilalamikia vitendo walivyoeleza vya ukiukwaji wa haki dhidi ya mteja wao vinavyodaiwa kufanywa na askari Magereza, jeshi hilo limekana madai hayo. Jeshi la Magereza katika taarifa yake limesisitiza kuwa, mahabusu au mfungwa anapokuwa chini ya himaya ya jeshi hilo, ni lazima awajibike “kufuata na…

Read More

Biashara katikati ya vumbi mtego kwa afya

Dar es Salaam. Licha ya ongezeko la shughuli za ujenzi wa miundombinu jijini, ikiwemo barabara, biashara za aina mbalimbali, zikiwemo za vyakula zinaendelea kufanyika pembezoni mwa maeneo yenye vumbi jingi, hali inayoweka afya za walaji hatarini. Vumbi linalopeperushwa hewani huambatana na chembechembe za uchafu na vimelea vya magonjwa, hali inayotajwa na wataalamu wa afya kuwa…

Read More