Jengo jipya kuboresha miundombinu ya utafiti Tanzania

Dodoma. Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imesema ujenzi wa jengo jipya jijini Dodoma ambalo linagharimu Sh8 bilioni ni sehemu ya mikakati ya Serikali kuboresha miundombinu ya utafiti na ubunifu nchini. Mwenyekiti wa COSTECH, Profesa John Kondolo ameyasema hayo jana Ijumaa Agosti 1 2025 wakati alipokuwa akikagua jengo hilo ambalo litakuwa ni makao makuu ya…

Read More

Watoto hawa hatarini kupata utapiamlo, tatizo liko hapa

Shinyanga. Watoto wasionyonyeshwa kikamilifu kwa miezi sita na wanaoanzishiwa vyakula mbadala mapema, wapo katika hatari ya kupata tatizo la utapiamlo, wataalamu wa afya wameonya. Imeelezwa kuwa hali hiyo inaweza kuchangia mtoto kupata utapiamlo, hii moja kwa moja inasababishwa na ulaji usiofaa na magonjwa yanayompata mtoto. Takwimu za Wizara ya Afya zinaonyesha asilimia 86 ya watoto…

Read More

Serikali ilivyokosoa hukumu iliyomtia hatiani mshtakiwa wa utekaji

Dar es Salaam.  Mahakama Kuu Masjala Ndogo Musoma imemuondolea hatia mfungwa Paulo Azimio Kisike, aliyekuwa amehukumiwa kifungo cha miaka saba jela kwa kosa la utekaji. Hukumu hiyo imetolewa na Jaji Marlin Komba baada ya kukubaliana na rufaa aliyoikata kupinga hatia hiyo, kuwa Jamhuri haikuweza kuthibitisha shtaka hilo, rufaa ambayo iliungwa mkono na Jamhuri yenyewe iliyomshtaki….

Read More

18 wapenya usaili RT,  Ikangaa, Isangi wajiondoa

Kuelekea uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), unaotarajiwa kufanyika Agosti 16 mwaka huu jijini Mwanza, wagombea 18 wamefaulu katika mchujo wa awali. Mchakato huo umetawaliwa na matukio ya kushtua ikiwemo kujiondoa kwa nyota wa zamani wa riadha nchini, Juma Ikangaa  pamoja na rais aliyemaliza muda wake, Silas Isangi ambao walitangaza uamuzi huo wakiwa…

Read More

Kwa Mkapa kila kitu shwari

UTARATIBU wa kuingia Uwanja wa Benjamin Mkapa unaotarajiwa kupigwa mechi ya ufunguzi wa michuano ya Chan kati ya Tanzania na Burki Faso umezingatia ustaarabu. Kabla ya mageti kufunguliwa nyomi ya watu ilijaa nje ya uwanja, wakisubiri kuingia ili kushuhudia mechi hiyo inayotarajiwa kuchezwa kuanzia saa 2:00 usiku, lakini baada ya kuruhusiwa kila kitu kinakwenda bila…

Read More

CHAN yabadili utaratibu kwa Mkapa

TOFAUTI na ilivyozoeleka katika mechi nyingi za ndani, ambapo mageti ya viwanja hufunguliwa mapema ili kuwapa mashabiki nafasi ya kuingia mapema, hali imekuwa tofauti kwenye ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2024. Uwanja wa Benjamin Mkapa ambao utatumika kwa ufunguzi wa mashindano hayo ulinzi ni mkubwa  huku mashabiki wakizuiwa kuingia mapema kama ilivyo kawaida. Mashindano hayo…

Read More

Jezi Stars ndio habari kubwa

Hapa Uwanja wa Benjamin Mkapa, uzalendo umewekwa mbele kwa mashabiki wengi kuvaa jezi za timu ya taifa badala ya zile za klabu. Tanzania kupitia Taifa Stars, leo itacheza mchezo wa ufunguzi wa Fainali za Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), itakapokutana na Burkina Faso, mechi itakayoanza saa 2:00 usiku. Nje ya uwanja wa Mkapa…

Read More

Vilio vya wafanyabiashara Kwa Mkapa

LICHA ya mashabiki waliojitokeza kwa wingi nje ya Uwanja wa Mkapa hali kwa wafanyabiashara sio nzuri baada ya kulalamikia biashara kutokwenda kama matarajio yao. Nyomi iliyojitokeza hapa ikisubiri muda wa kuruhusiwa kuingia ndani wengi wamekuwa wakizunguka zunguka kuvuta muda huku wengine wakijipumzisha maeneo ya vivuli. Wakizungumza na Mwanaspoti, wafanyabiashara waliopo nje ya Uwanja wa Mkapa…

Read More