Gamondi kuitumia Kagame kunoa makali CAF
KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema mashindano ya Kagame yatamsaidia kuandaa timu shindani kuelekea mechi za ligi na kimataifa. Akizungumza na Mwanaspoti, Gamondi alisema anafurahishwa na mwenendo wa maandalizi huku akidai kuwa wachezaji wake wapo kwenye hali nzuri ya ushindani matarajio yao ni makubwa. “Timu inaendelea vizuri licha ya kwamba sio wachezaji…