
PBPA YATOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU UAGIZAJI MAFUTA NANENANE
WAKALA wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) unashiriki katika Maonesho ya Kilimo ya Nanenane yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma. Ushiriki wa PBPA katika maonesho haya unalenga kutoa elimu kwa umma kuhusu majukumu yake ya msingi, ambayo ni pamoja na usajili wa wazabuni na kampuni za uagizaji mafuta, usimamizi wa mikataba ya…