Masaibu ya wasomao vyuo na umri mdogo

Dar es Salaam. Wakati idadi zaidi ya vijana wakjiunga na elimu ya juu, wito umetolewa kwa Serikali kupitia mamlaka zake husika kuweka mkazo zaidi katika maandalizi ya kisaikolojia na kitaaluma,  kwa wanafunzi wanaotoka moja kwa moja kidato cha nne kwenda vyuo vya elimu ya juu. Wataalamu wa elimu, saikolojia na malezi wanasema vijana hawa wengi…

Read More

CHAN yafungua fursa ya jezi za Stars Zanzibar 

WAFANYABIASHARA wa jezi mjini Unguja wameelezea fursa zilizopo hususan katika Michuano ya Mataifa Ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za ndani (CHAN), zinazoendelea kwa wenyeji Tanzania ikishirikiana na Kenya na Uganda. Wakizungumza na Mwananchi Digital, wafanyabiashara mbalimbali hasa wa jezi wameeleza michuano ya CHAN inayoendelea  jinsi itakavyowanufaisha kutokana na mwitikio wa uhitaji hasa wa timu…

Read More

Mpina anukia ACT Wazalendo, kinachomsubiri…

Dar es Salaam. Ukurasa mpya wa siasa za mbunge wa zamani wa Kisesa, Mkoa wa Simiyu, Luhaga Mpina unatajwa kufungukia katika Chama cha ACT- Wazalendo, huku akihusishwa na nia ya kuwania urais kupitia jukwaa hilo jipya. Mwanasiasa huyo amewawakilisha wananchi wa Kisesa kwa miongo miwili tangu mwaka 2005 kwa nafasi ya ubunge, kabla ya jina…

Read More

Stars ilivyozipiga bao Kenya, Uganda

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imeandika ukurasa mpya kwa ukanda wa Afrika Mashariki baada ya kuanza kwa kishindo michuano ya CHAN 2024, huku ikizidi kete majirani zake Kenya na Uganda waliokuwa kama wenyeji wenza wa mashindano hayo. Ilianza kwa kishindo Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, Jumamosi ya Agosti 2, wakati…

Read More

Uganda yaingia anga zile zile za Ivory Coast

KIPIGO cha mabao 3-0 ilichopewa Uganda The Cranes kutoka kwa Algeria katika mechi ya kwanza ya Fainali za CHAN 2024 jana usiku imeifanya timu hiyo kuingia anga za Ivory Coast. Ivory Coast ikiwa wenyeji wa fainali za kwanza za CHAN 2009 ilikumbana na kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Zambia yaliyofungwa na Given Singuluma akiwa…

Read More

MCHENGERWA ASHINDA KWA ASILIMIA 99.19 RUFIJI

Na Ally Issa. Mgombea wa jimbo la Rufiji anayetetea jimbo lake Mohamed Mchengerwa ameibuka kidedea katika kinyang’anyiro cha kura za maoni kwa kuzoa asilimia 99.19 ya kura zote zilizopigwa. Akitangaza matokeo hayo Mkurugenzi wa Uchaguzi wa jimbo hilo Prudence Sempa. amesema Mchengerwa amepata kura 8, 465 kati ya kura 8 , 533 zilizopigwa sawa na…

Read More