Wanaodaiwa kuingilia mfumo ya benki, waendelea kusota rumande
Dar es Salaam. Raia wa Ghana, Valentine Kofi (45) na Watanzania watatu, wataendelea kubaki rumande hadi Septemba 8, 2025 wakati kesi yao ya uhujumu uchumi itakapotajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Hatua hiyo inatokana na upelelezi wa kesi hiyo kutokamilika. Kofi na wenzake wakikabiliwa na mashtaka manne likiwemo la kuingilia mfumo wa benki na…