Mgunda aongeza nguvu kambi ya Namungo
KOCHA wa Namungo, Juma Mgunda anajiandaa kutua kambini jijini Dodoma ikiwa ni siku chache tangu atoke katika majukumu ya timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ili kuendelea na programu za kujiandaa na msimu mpya. Katibu wa timu hiyo, Ally Seleman alisema Mgunda atajiunga na kambi iliyopigwa Dodoma na wachezaji walishaanza kufanya mazoezi chini ya…