UDOM YAKUTANA NA WADAU KUCHAMBUA NAFASI YA AKILI UNDE KATIKA UTAWALA BORA
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na wadau wa teknolojia na wataalamu wa utawala wamekutana leo Jijini Dodoma chuoni hapo kwenye warsha maalumu inayolenga kuchambua nafasi ya akili unde katika kuimarisha misingi ya utawala bora nchini. Akizungumza mara baada ya kufungua warsha hiyo leo Agosti 25,2025 Naibu Makamu Mkuu…