Haya hapa matokeo ya ubunge CCM

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) leo kinatarajiwa kutangaza matokeo ya kura za maoni za wagombea ubunge katika majimbo mbalimbali nchini, hatua muhimu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba. Aliyekuwa Mbunge wa Pangani, Mkoa wa Tanga, Jumaa Aweso ameongoza kwenye kura za maoni kwa kupata asilimia 100 ya kura zote 3,806 zilizopigwa katika kata 14…

Read More

Korti yaelezwa washtakiwa walivyomtenda mwanachuo mwenzao

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa jinsi mshtakiwa, Mary Matogolo (22) na wenzake wawili walivyomvua nguo Magnificant Kimario, kisha kumnyoa nywele kichwani kwa kutumia kisu, huku wengine wakimwagia maji mwilini na kumtukana. Pia wanadaiwa kupasua simu ya Magnificant, kuchoma moto nguo alizokuwa amevaa pamoja na pochi ya mkononi, vyote vikiwa na thamani…

Read More

TAWA YATUMIA MAONESHO YA 31 YA NANE NANE 2025 KUELIMISHA UMMA NA KUUZA VIVUTIO VYA UTALII

::::::: Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), kupitia Kanda ya Kaskazini, inaendelea kutumia jukwaa la Maonesho ya Nane Nane 2025 yanayoendelea katika Viwanja vya Nane Nane mkoani Arusha kuwafikia Watanzania kwa kuwapatia elimu kuhusu uhifadhi, utalii na fursa za uwekezaji katika maeneo yake ya usimamizi. Kupitia ushiriki wake ndani ya banda la pamoja la…

Read More

DKT MPANGO AWATAKA WANAMICHEZO KULETA USHINDA TANZANIA

::::: Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa wanamichezo kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola kama washindani wa kweli ambao wataonesha vipaji na kuiletea Tanzania heshima.   Makamu wa Rais ametoa wito huo wakati akipokea Kifimbo cha Mfalme wa Uingereza kuelekea Mashindano ya Michezo ya Jumuiya ya…

Read More

PZG, MCL wasaini MoU kuimarisha vipaumbele vya maendeleo ya Taifa

Dar es Salaam.Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) na Kampuni ya mikakati, matokeo na uhusiano wa umma ya PZG, wamesaini Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) yenye lengo la kuendeleza vipaumbele vikuu vya kitaifa vya maendeleo, kampeni, mipango ya uendelevu na ubunifu nchini Tanzania. Makubaliano hayo yanaashiria dhamira ya pamoja ya pande zote mbili katika kuendeleza simulizi…

Read More

Waandishi wa uchaguzi kusajiliwa kwa ithibati ya JAB

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima, amewahimiza waandishi wa habari kujisajili katika mfumo wa ithibati ya waandishi wa habari ili kutambuliwa na tume wakati wakitekeleza majukumu yao siku ya uchaguzi mkuu. Akisisitiza kuhusu usajili wa waandishi wa habari kwenye mfumo wa tume, Mjumbe wa Bodi…

Read More

Mfumo mpya kutoa taarifa za waharibifu, wezi mali za Tanesco

Dar es Salaam. Kutokana na uwepo kwa wizi wa mali na uharibifu wa miundombinu ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), shirika hilo limeanzisha mfumo wa kupokea taarifa za siri (Whistle blower portal) ili kuwabaini wale wote wanaohusika na uhalifu huo. Mfumo huo umeanzishwa ili kurahisisha upokeaji wa taarifa kutoka kwa wananchi, wafanyakazi wa Tanesco na…

Read More