
CCM na ndoto ya Katiba mpya, haki jinai
Moshi. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimetoa ilani yake ya uchaguzi 2025–2030 na moja ya ahadi ni kumalizia mchakato wa kuandika Katiba mpya, ambayo ni ndoto ambayo haijakamilika tangu Tanzania iingie katika mfumo wa vyama vingi, mwaka 1992. Safari rasmi ya kuanza kuandika Katiba mpya ilianza mwaka 2011, baada ya Rais wa awamu ya nne, Jakaya…