Polisi wanne wa Intelijensia Moshi kortini wakidaiwa kutumia silaha kuiba bodaboda

Dar es Salaam. Askari wanne wa Kitengo cha Intelijensia cha Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Moshi, mkoani Kilimanjaro, wakikabiliwa na shtaka la wizi wa pikipiki ya abiria maarufu bodaboda kwa kutumia silaha. ‎Maofisa hao wa Polisi, wanatuhumiwa kuiba pikipiki hiyo mali ya Ramadhani Singe katika kambi ya Polisi….

Read More

Bado Watatu – 4 | Mwanaspoti

KADHALIKA katika chupa hizo pia kutakuwa na alama zao za vidole kwa vile kila mmoja alikuwa akishika chupa na kujimiminia. Baada ya kuwaza hivyo niliinuka nikaenda pale kando ya meza na kuzitazama zile bilauri bila kuzigusa. Nikahisi kwamba alama zao zilikuwepo. Nikatoa kitambaa kutoka mfukoni mwangu na kumwambia mwenyeji wangu anipatie mfuko ili nitie zile…

Read More

CHAN 2024: Appiah anavyowapa tabasamu Wasudani

KOCHA wa timu ya taifa la Sudan, James Kwesi Appiah ambaye kesho, Jumanne ataongoza kikosi hicho kucheza mechi ya nusu fainali ya mashindano ya CHAN dhidi ya Madagascar, ameweka historia kwenye ramani ya soka la Afrika. Wakati nchi hiyo ikiendelea kukumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyosababisha mamilioni kukimbia makazi yao, Appiah ameibadilisha Sudan…

Read More

SMZ yapokea gawio la Sh10 bilioni kutoka PBZ

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imepokea gawio la Sh10 bilioni kutoka Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) ikiwa ni sehemu ya faida iliyopatikana kwa mwaka 2024. Kutokana na kazi zilifanywa na benki hiyo kwa mwaka huo, imefanikiwa kutengeneza faida ya Sh107 bilioni ambapo gawio lililotolewa litaingizwa moja kwa moja katika mfuko wa Serikali….

Read More

Bado Watatu – 3 | Mwanaspoti

““HUMU ndani asiingie mtu yeyote. Tutarudi tena. Sawa?” “Humu ndani mnaishi watu wangapi?” “Ukiacha marehemu ambaye hakuwa na mke wala watoto, tuko familia tatu.” “Mwenye nyumba anaishi hapa hapa?” “Mwenye nyumba hakai hapa.” Nikatoka katika kile chumba pamoja na yule mtu. Polisi walikuwa wametangulia kutoka. Nikamuamrisha yule mtu afunge ule mlango. “Hakikisha hakuna mtu anayeingia…

Read More

TFS YAONGOZA TUZO YA USIMAMIZI BORA WA FEDHA 2025

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeendelea kung’ara kitaifa baada ya kutwaa Tuzo ya Usimamizi Bora wa Fedha kwa Taasisi zisizo za Kibiashara 2025, katika Mkutano wa Majadiliano wa Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Serikali (CEOs Forum 2025) uliofanyika jijini Arusha. Tuzo hiyo ilikabidhiwa leo Agosti 24, 2025 na Makamu wa…

Read More