Watumishi majumbani wapaza sauti kilio cha haki

Dodoma. Wafanyakazi wa majumbani wamepaza sauti wakitaka kupewa haki zao za msingi za likizo ya mwaka, ugonjwa na ya uzazi kama ilivyo kwa kada nyingine za kazi nchini. Vilevile wanataka haki ya kuwa na muda maalumu wa kufanya kazi na kupumzika kwa kuwa waajiri wengi hawatoi nafasi kwao ya kupumzika, hivyo hujikuta wakifanya kazi zaidi…

Read More

Mganga aliyebaka akidai anafanya tambiko akwaa kisiki mahakamani

Arusha. Usemi wa Kiswahili usemao “Mganga hajigangi” umethitika baada ya mganga wa kienyeji kutoka mkoani Geita, Masoud Adam ambaye alijikuta akikosa pa kujitetea baada ya Mahakama ya Rufani kukataa rufaa aliyoiwasilisha kupinga kifungo cha miaka 30 jela alichohukumiwa kwa kosa la ubakaji. Katika kesi ya msingi iliyosikilizwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Geita, Masoud alishtakiwa…

Read More

Chanzo makosa ya usalama barabarani kupaa Zanzibar

Unguja. Wakati makosa makubwa ya jinai yakipungua kwa kipindi cha Januari hadi Juni, 2025 yale ya usalama barabarani yameongezeka kwa asilimia 70.4 katika kipindi hicho, hali inayowashtua wadau wakishauri hatua za kuchuua. Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari leo Agosti 2, 2025, Kamishna wa Polisi Zanzibar, Kombo Khamis Kombo amesema makosa ya usalama barabarani yameongezeka…

Read More

Baraza la Usalama la UN linakutana juu ya shida nchini Ukraine – Maswala ya Ulimwenguni

© Unocha/Viktoriia Andriievska Watu hukusanyika karibu na jengo lililoharibiwa huko Kyiv, Ukraine. Ijumaa, Agosti 01, 2025 Habari za UN Baraza la Usalama la UN linakutana Ijumaa alasiri kujadili mzozo unaoendelea nchini Ukraine, ambapo mashambulio ya hivi karibuni yamewaacha watu kadhaa wakiwa wamekufa au kujeruhiwa. Afisa mwandamizi wa mambo ya kisiasa ya UN anatarajiwa kufupisha juu…

Read More

Morocco: Tunataka rekodi mpya CHAN 2024

Ikiwa leo ndiyo siku ya kuanza kwa mashindano ya CHAN 2024, macho ya wengi Afrika na dunia yataelekezwa Tanzania, ambayo kwa mara ya kwanza inakuwa mwenyeji wa fainali hizi pamoja na Kenya na Uganda, ikiwa na kocha mzawa kwa mara ya kwanza kwenye michuano hiyo. Kwa Kocha Mkuu  Hemed Suleiman maarufu kama ‘Morocco’, mashindano haya…

Read More

NYAMBAYA: DRFA tupo tayari CHAN 2024

TUKIO kubwa linalosubiriwa na umma wa wapenzi wa soka Afrika hivi sasa ni mechi ya ufunguzi wa Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) 2024, itakayochezwa leo Jumamosi, Agosti 2, 2025 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Tanzania. Katika mechi hiyo itayochezwa kuanzia saa 2:00 usiku, timu ya…

Read More

Kocha Yanga ashusha mkwara mzito!

YANGA imeshamalizana na kiungo mmoja wa kigeni, Mohammed Doumbia na mshambuliaji Celestin Ecua na kilichobaki kwa sasa ni kuwatambulisha tu, lakini kuna kocha mmoja Mfaransa aliyekuwa akifuatilia usajili wa timu hiyo ametoa kauli ambayo inaweza kuwa kama salamu kwa timu pinzani. …

Read More