
PZG, MCL wasaini MoU kuimarisha vipaumbele vya maendeleo ya Taifa
Dar es Salaam.Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) na Kampuni ya mikakati, matokeo na uhusiano wa umma ya PZG, wamesaini Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) yenye lengo la kuendeleza vipaumbele vikuu vya kitaifa vya maendeleo, kampeni, mipango ya uendelevu na ubunifu nchini Tanzania. Makubaliano hayo yanaashiria dhamira ya pamoja ya pande zote mbili katika kuendeleza simulizi…