
Waandishi wa uchaguzi kusajiliwa kwa ithibati ya JAB
Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima, amewahimiza waandishi wa habari kujisajili katika mfumo wa ithibati ya waandishi wa habari ili kutambuliwa na tume wakati wakitekeleza majukumu yao siku ya uchaguzi mkuu. Akisisitiza kuhusu usajili wa waandishi wa habari kwenye mfumo wa tume, Mjumbe wa Bodi…