Jamii Yakumbushwa Kutowatenga Wenye Kifafa: “Kifafa Sio Laana Wala Mkosi”

TAASISI ya Tanzania Epilepsy Organisation (TEO) imeitaka jamii kuwapa heshima, upendo, na haki sawa watu wenye ugonjwa wa kifafa, ikisisitiza kuwa hawapaswi kutengwa wala kunyanyapaliwa. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, Agosti 4, 2025 wakati wa uzinduzi wa mradi maalum wa Ongea, Simama Imara, Suzana Mukoyi, aliyemwakilisha Mkurugenzi wa Taasisi hiyo, amesema mradi huo umeanzishwa…

Read More

MKUTANO WA 45 WA WAKUU WA NCHI WA SADC WAANZA MADAGASCAR NA KIKAO CHA KUJADILI MPANGO WA MAENDELEO

::::::: Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza Agosti 04, 2025 jijini Antananarivo, Madagascar na Kikao cha Wataalamu cha Maafisa Waandamizi cha kupitia Utekelezaji wa Mpango Mkakati Elekezi wa Maendeleo wa Kikanda 2030 (Regional Indicative Strategic Development Plan 2030-RISDP). Tanzania inashiriki kikao hicho muhimu kwa…

Read More

Madagascar v Mauritania suluhu ya kwanza CHAN

TIMU za Madagascar na Mauritania zilitoka sare ya bila kufungana (0-0) katika mechi ya Kundi B ya Michuano ya CHAN PAMOJA 2024 iliyopigwa Jumapili usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Kundi hili lenye timu tano linaongozwa na wenyeji Tanzania wenye pointi tatu baada ya kuichapa Burkina Faso kwenye mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo ambayo…

Read More

Kuhusu suala la Mpanzu Simba lipo hivi

HUKO miluzi ni mingi kuhusiana na nyota wa Simba, Elie Mpanzu, ambako mijadala mbalimbali inaendelea wakati huu ambao ishu za usajili katika timu mbalimbali zimetaladadi, ambapo mastaa kibao wanabadili timu huku wapya wakisajiliwa kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano ndani na nje ya nchi. …

Read More

WANANCHI WAKARIBISHWA BANDA LA WIZARA YA NISHATI NANENANE DODIMA

::::::: Wizara ya Nishati imeendelea kukaribisha wananchi kutembelea Banda la Wizara ya Nishati  katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima (NANENANE) yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.  Fredrick Marwa, Mjiolojia kutoka Wizara ya Nishati amesema katika maonesho hayo Wizara inaeleza kuhusu  kazi mbalimbal zinaoendelea kufanyika ikiwemo za  utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi katika…

Read More

Vodacom yatambua vipaji vya golf kupitia Corporate Masters.

Vodacom Tanzania, kupitia kitengo cha Vodacom Business kinachoshughulika na wafanyabiashara wakubwa pamoja na wadau mbalimbali wa michezo, wamekabidhi tuzo na zawadi kwa washindi tofauti wa mashindano ya golf yaliyofanyika katika uwanja wa TPDF Lugalo jijini Dar es Salaam, tarehe 2 Agosti mwaka huu.  Hafla hiyo ilikuwa sehemu ya mashindano ya Vodacom Corporate Masters, yaliyolenga kuhamasisha…

Read More

KAILIMA ASEMA TUME ITAFANYA KAZI KWA KARIBU NA WAANDISHI WA HABARI KIPINDI CHOTE CHA UCHAGUZI MKUU 2025

:::::::: Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima akizungumza katika Mkutano wa Tume, Wahariri na Waandishi wa Habari, uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam, Agosti 4, 2025 ambapo amewahakikishia washiriki hao kuwa, ofisi yake itafanya kazi nao kwa karibu katika kipindi cha uchaguzi…

Read More