Majaliwa: Rushwa bado tishio nchi za SADC

Arusha. Licha ya maendeleo katika nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), rushwa inatajwa kuwa tishio la usalama linalosababisha uhalifu uliopangwa, biashara haramu ya binadamu, ugaidi na mmomonyoko wa utawala wa sheria. Hayo yamesemwa leo Jumatatu Agosti 4, 2025 na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati akizungumza kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassan,…

Read More

Beti Ya Kinara wa Ligi Christmas Unampa Nani?

LIGI zipo njiani kuanza na mpaka sasa ni siku 11 tuu zimebaki ambapo tayari wakali wa ubashiri Meridianbet wamekuwekea ODDS za kibabe pale EPL ambapo unaweza ukabashiri timu yako ambayo unaona itaongoza ligi siku ya Christmas. Nafasi kubwa ya kuongoza ligi siku hiyo ya Christmas yaani tarehe 25 Desemba anapewa bingwa mtetezi wa Ligi yaani…

Read More

DARAJA LA J.P MAGUFULI KUFUNGWA KAMERA ZA USALAMA.

:::::::: Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imepanga kufunga kamera maalum za usalama (CCTV) katika Daraja la J.P. Magufuli linalounganisha Kigongo na Busisi, mkoani Mwanza, ili kuhakikisha daraja hilo linalindwa ipasavyo na kudumu kwa muda mrefu kwa manufaa ya taifa. Hayo yameelezwa na Meneja wa TANROADS Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Ambrose Pascal, ambapo amesema…

Read More

Jamii Yakumbushwa Kutowatenga Wenye Kifafa: “Kifafa Sio Laana Wala Mkosi”

TAASISI ya Tanzania Epilepsy Organisation (TEO) imeitaka jamii kuwapa heshima, upendo, na haki sawa watu wenye ugonjwa wa kifafa, ikisisitiza kuwa hawapaswi kutengwa wala kunyanyapaliwa. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, Agosti 4, 2025 wakati wa uzinduzi wa mradi maalum wa Ongea, Simama Imara, Suzana Mukoyi, aliyemwakilisha Mkurugenzi wa Taasisi hiyo, amesema mradi huo umeanzishwa…

Read More

MKUTANO WA 45 WA WAKUU WA NCHI WA SADC WAANZA MADAGASCAR NA KIKAO CHA KUJADILI MPANGO WA MAENDELEO

::::::: Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza Agosti 04, 2025 jijini Antananarivo, Madagascar na Kikao cha Wataalamu cha Maafisa Waandamizi cha kupitia Utekelezaji wa Mpango Mkakati Elekezi wa Maendeleo wa Kikanda 2030 (Regional Indicative Strategic Development Plan 2030-RISDP). Tanzania inashiriki kikao hicho muhimu kwa…

Read More

Madagascar v Mauritania suluhu ya kwanza CHAN

TIMU za Madagascar na Mauritania zilitoka sare ya bila kufungana (0-0) katika mechi ya Kundi B ya Michuano ya CHAN PAMOJA 2024 iliyopigwa Jumapili usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Kundi hili lenye timu tano linaongozwa na wenyeji Tanzania wenye pointi tatu baada ya kuichapa Burkina Faso kwenye mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo ambayo…

Read More

Kuhusu suala la Mpanzu Simba lipo hivi

HUKO miluzi ni mingi kuhusiana na nyota wa Simba, Elie Mpanzu, ambako mijadala mbalimbali inaendelea wakati huu ambao ishu za usajili katika timu mbalimbali zimetaladadi, ambapo mastaa kibao wanabadili timu huku wapya wakisajiliwa kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano ndani na nje ya nchi. …

Read More

WANANCHI WAKARIBISHWA BANDA LA WIZARA YA NISHATI NANENANE DODIMA

::::::: Wizara ya Nishati imeendelea kukaribisha wananchi kutembelea Banda la Wizara ya Nishati  katika Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima (NANENANE) yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.  Fredrick Marwa, Mjiolojia kutoka Wizara ya Nishati amesema katika maonesho hayo Wizara inaeleza kuhusu  kazi mbalimbal zinaoendelea kufanyika ikiwemo za  utafutaji na uchimbaji wa mafuta na gesi katika…

Read More