Sare yambeba kipa Madagascar | Mwanaspoti

KIPA wa Madagascar, Michel Ramandimbozwa aliibuka shujaa baada ya kuiongoza timu yake kulazimisha suluhu dhidi ya Mauritania, licha ya kucheza wakiwa pungufu kutokana na kuonyeshwa kwa kadi nyekundu ya kwanza katika mashindano hayo. Ramandimbozwa, ambaye aliibuka kuwa Mchezaji Bora wa mechi, aliwavutia wengi kwa ubora wake langoni na alifanya kazi ya ziada kuokoa mashambulizi ya…

Read More

Kauli ya Rostam Aziz kuhusu mchakato wa uteuzi watiania CCM

Dar es Salaam. Kada nguli wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na mfanyabiashara maarufu, Rostam Aziz amepongeza mchakato mpya wa chama hicho katika kupitisha wagombea wa ubunge akisema unatoa nafasi ya haki na uwazi kwa watiania. Akizungumza leo, Jumapili Agosti 3, 2025 jijini Dar es Salaam katika mahojiano maalumu, Rostam amesema amewahi kupitia michakato mingi ya…

Read More

Wajumbe CCM wazuiwa kuingia ukumbi kisa sare

Unguja. Baadhi ya wajumbe wa kupiga kura za maoni Jimbo la Mfenesini wamezuiwa kuingia ndani ya ukumbi kwa kile kilichoelezwa hawakuvaa sare za chama kama walivyoelekezwa Wajumbe wa jimbo hilo wameanza kuingia ndani saa 3:00 asubuhi kwa ajili ya matayarisho ya  upigaji kura za maoni kwa wabunge, wawakilishi na madiwani. Jimbo hilo lenye wadi tisa…

Read More

KAABI: Kutoka CHAN hadi mfungaji bora Ulaya

KADRI mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani yakianza leo, majina ya mastaa kadhaa yamekuwa yakikumbukwa lakini kubwa zaidi ni la mwamba wa Morocco Ayoub El Kaabi aliyetumia michuano hii kama njia ya kutua Ulaya na sasa imebaki historia.  El Kaabi, mshambuliaji wa Morocco, alivuma kupitia CHAN 2018, na mafanikio hayo yakamfungulia…

Read More

Pamba Jiji yamkomalia Kelvin Nashon

UONGOZI wa Pamba Jiji uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo wa Singida Black Stars, Kelvin Nashon, baada ya kikosi hicho kushindwa kufikia makubaliano ya kuipata saini ya nyota huyo katika dirisha dogo la Januari 2025. Nyota huyo alishindwa kufikia makubaliano binafsi na kikosi hicho katika dirisha dogo, ingawa kwa sasa mazungumzo…

Read More

Mwashilindi anukia Mtibwa Sugar | Mwanaspoti

KLABU ya Mtibwa Sugar inakaribia kuipata saini ya kiungo wa maafande wa Tanzania Prisons, Ezekia Mwashilindi, baada ya nyota huyo kufanya mazungumzo na timu hiyo, ambayo hadi sasa yanaendelea vizuri ili kukitumikia kikosi hicho msimu ujao. Nyota huyo wa zamani wa Singida BS, kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Prisons,…

Read More