Beki Mtanzania ajumuishwa Morocco | Mwanaspoti

ALIYEKUWA nahodha wa Simba Queens, Violeth Nickolaus amejumuishwa kwenye kikosi cha FC Masar ambacho kipo Morocco kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake ya Misri. Hadi sasa Masar haijamtambulisha nyota huyo wa timu ya taifa ya wanawake, Twiga Stars, licha ya yeye mwenyewe kubadilisha utambulisho wake kwenye mitandao ya kijamii…

Read More

Chama la Mmombwa latolewa UEFA

CHAMA la kiungo Mtanzania, Charles Mmombwa, Floriana FC imetolewa kwenye michuano ya kufuzu kucheza Europa Conference League baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Balkani. Timu hiyo ilipata nafasi ya kushiriki mechi za mtoano za michuano mikubwa Ulaya baada ya kumaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Malta, maarufu kama…

Read More

Geay aula Berlin Marathon 2025

MWANARIADHA nyota wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay ni miongoni mwa mastaa 13 ambao wamepewa mwaliko wa kushiriki mbio za Berlin Marathon 2025, Ujerumani. Mbio hizo zitafanyika Septemba 21 na Geay anayeshikilia rekodi ya taifa ya mbio ndefu kwa muda wa saa 2:03:00 aliyoiweka katika Valencia Marathon miaka mitatu iliyopita atashiriki kwa mara ya kwanza….

Read More

Kipa wa KVZ azitosa mbili Bara

KIPA tegemeo wa KVZ anayeidakia pia timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, Suleiman Said Abraham amezikacha timu mbili za Ligi Kuu Bara, Tabora United na Pamba Jiji na kutua Namungo. Namungo imefanikiwa kunasa saini ya kipa huyo, baada ya kuzizidi ujanja Tabora na Pamba ambazo nazo zilikuwa zikimwinda kwa muda mrefu. Suleiman amemwaga wino…

Read More

Kanuni za kutoboa Chan 2024

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), limezianika kanuni za mashindano ya CHAN 2024 upande wa kusaka timu mbili kutoka kila kundi zitakazofuzu hatua ya robo fainali. Mashindano hayo yanayoshirikisha jumla ya timu 19 ambazo zimegawanywa katika makundi manne, yalianza Jumamosi ya Agosti 2 mwaka huu kwa mchezo wa ufunguzi kati ya wenyeji Tanzania dhidi ya Burkina…

Read More

Huko Yanga bado mmoja tu!

YANGA imeshaanza maandalizi ya msimu mpya wa mashindano kwa mwaka 2025-26 na jana Jumapili mazoezi ya timu hiyo yalisitishwa kidogo kisha kufanyika kikao kizito kati ya mabosi wa klabu hiyo na mastaa wa timu hiyo huku mashine moja tu ikikosekana ukiacha wale walioko timu ya Taifa. …

Read More

Mido Mkenya, Sowah wainogesha kambi

KIKOSI cha Simba leo Jumatatu kinaingia siku ya tano kikiwa kambini katika jiji la Ismailia, Misri kujiandaa na msimu mpya na kikosi hicho kimepokea kundi lingine la wageni na wenyeji wakiwa huko na kuna mashine mbili mpya zilizoongeza mzuka. Msafara wa kwanza wa…

Read More

Rais Samia avunja bodi ya NSSF, afanya uteuzi

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania,  Samia Suluhu Hassan ameivunja bodi ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na kuwateuwa watendaji mbalimbali. Bodi ya NSSF ilikuwa inaundwa na Mwenyekiti wake, Mwamini Malemi, Makamu, Abdul Zuberi, huku wajumbe ni Juliana Mpanduji, Joseph Nganga, John Kinuno, Henry Mkunda, Fauzia Malik, Lucy Chigudulu na Oscar Mgaya….

Read More