
INEC yaonya wazalishaji maudhui mitandaoni kuitumia ‘AI’ kupotosha
Dar es Salaam. Wazalishaji maudhui ya mtandaoni nchini Tanzania wametakiwa kuripoti taarifa za ukweli na uhakika katika majukwaa ya mitandao ya kijamii wakati Taifa likielekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge na Rais Jumatano ya Oktoba 29, 2025. Sambamba na hilo, wametakiwa kuepuka matumizi mabaya ya Akili Unde (AI), ambayo baadhi ya watu wanatumia kusambaza…