Simba inawachora tu kwa Mpanzu

WAKATI tetesi mbalimbali zikidai winga wa Simba, Ellie Mpanzu anaweza kuondoka dirisha hili, taarifa kutoka chanzo cha kuaminika Simba zimesema mchezaji huyo bado yupo sana na kesho Jumapili atatua baada ya awali kuomba udhuru kumaliza mambo akiwa kwao DR Congo. …

Read More

Josiah aziingiza vitani mbili Bara

Namungo na Dodoma Jiji zimeingia vitani kuisaka saini ya aliyekuwa kocha mkuu wa Tanzania Prisons, Aman Josiah, lakini inadaiwa itakayokuwa na mkwanja mnene inaweza ikafanikisha dili hilo kwani kwa sasa kocha huyo hana timu. Chanzo cha ndani kutoka Namungo kilisema uongozi umeshawishika kutaka huduma ya Josiah kutokana na kile alichokifanya akiwa na Prisons msimu uliyopita,…

Read More

Marafiki, Wanajenga, Wanabomoa Uhusiano, Jifunze!

DUNIANI tunaishi kwa kutegemeana. Kwenye maisha kila mtu anamhitaji mwenzake kwa namna moja au nyingine. Anahitaji msaada wa mawazo, ushauri na hata fedha hivyo mtu huwezi kuepuka marafiki. Marafiki ndio ambao wanaweza kukupa msaada pale unapokuwa na uhitaji. Marafiki ndio wanaoweza kukupa faraja pale unapopitia kwenye kipindi kigumu. Ndio wanaoweza kukusaidia kwa hali na mali. Ndio…

Read More

Shinikiza ya Afrika kwa maendeleo ya uhuru wa VVU na ununuzi wa kwanza wa dawa zilizotengenezwa ndani – maswala ya ulimwengu

Alama za maendeleo Hatua muhimu kwa mkoa ambao unachukua karibu asilimia 65 ya mzigo wa VVU ya ulimwengu na kwa muda mrefu umetegemea uagizaji ya kuokoa maisha ya dawa za kukinga na vifaa vya upimaji. Lakini hiyo inaweza kuwa inaanza kubadilika. Virusi vya kinga ya binadamu (VVU) Inadhoofisha mfumo wa kinga ya mwili, kupunguza uwezo…

Read More

WANAJAMII MTWARA WAAPA KUPAMBANA NA NDOA ZA UTOTONI

Kivutio cha Mtwara Na Mwandishi wetu, Mtwara Wanajamii wilayani Mtwara vijijini wameahidi kuendelea na harakati za kupambana na ndoa za utotoni ili kumkomboa mtoto wa kike na kumuwezesha kwenda shule. Wito huo umetolewa kijijini Nkunwa, wilayani Mtwara vijijini, leo wakati wakitoa maazimio ya kufunga mdahalo wa kijamii ulioandaliwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) pamoja…

Read More