Mwisho utumishi wa wabunge leo

Dar es Salaam. Utumishi wa miaka mitano wa wawakilishi wa wananchi katika Bunge la 12 umekoma leo, Jumapili, Agosti 3, 2025, baada ya kuhudumu tangu Novemba 13, 2020. Hatua ya kukoma kwa Bunge hilo, inatokana na Rais Samia Suluhu Hassan kuwasilisha hati ya kulivunja, kwa mujibu wa Ibara ya 92(2)a ya Katiba ya Tanzania. Kukoma…

Read More

Sanaa ya malezi na siri ya kulea vizazi vyenye maadili, mafanikio

Maisha ya binadamu hupitia hatua mbalimbali tangu kuzaliwa hadi utu uzima. Katika hatua hizi, mafanikio au changamoto zinazomkumba mtoto mara nyingi hutegemea namna alivyoelekezwa, kulelewa na kuandaliwa tangu awali. Malezi ni kama kilimo; unachokipanda leo ndicho utakachovuna kesho. Hivyo, mzazi au mlezi anaposhindwa kumjengea mtoto msingi bora wa maadili na taarifa sahihi, jamii na ulimwengu…

Read More

Kila mwanandoa ni mwanafunzi na mwalimu

Wahenga wanatuasa kuwa elimu ni ufunguo na pia, katika kuisaka, hakuna mwisho. Elimu, kama hewa, iko mahali popote. Inaweza kutoka au kutolewa na au kwa yeyote ilmradi mhusika awe tayari kujifunza na kufundisha. Hivyo, wanandoa, nao, kama waja, wana jukumu la kujifunza. Katika maisha, kuna vitu vidogo lakini vyenye thamani ambavyo hatuvijui tupaswavyo kufundishwa au…

Read More

Hizi hapa sifa za kuwa baba bora

Ukijua thamani na majukumu unayotakiwa kutimiza katika maendeleo na maisha ya watoto wako, hilo litakusaidia kujitoa kikamilifu na kuwekeza katika familia. Kinababa wengi wanaamini kwamba wao jukumu lao ni kutunza familia na sio kulea watoto wao. Mwanaume anayejiona kuwa “hana uwezo” hayuko kwenye nafasi nzuri ya kusaidia, kulinda, kuongoza na kuandaa wakati ujao mzuri kwa…

Read More

Siri ya kuishi na wakwe wakorofi

Maisha ya ndoa huambatana na changamoto nyingi, mojawapo ikiwa ni uhusiano kati ya mtu na wakwe zake. Wakati mwingine, wakwe huwa baraka kubwa katika maisha ya wanandoa, lakini kuna hali ambapo baadhi ya wakwe huwa wakorofi, wakivuruga amani ya familia. Makala inachambua mbinu mbalimbali ambazo mtu anaweza kutumia kuishi kwa amani na wakwe wenye tabia…

Read More

5000 kuliamsha Nyerere International Marathon

WANARIADHa 5000 kutoka ndani na nje ya nchi wanatarajia kuchuana katika mbio za kimataifa za Mwalimu Julius Nyerere zinazotarajia kufanyika jijini Mbeya. Mbio hizo zinazoandaliwa na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kwa kushirikiana na ofisi ya Waziri Mkuu ni msimu wa pili kufanyika baada ya mwaka jana kurindima jijini Mwanza na sasa ni Mbeya. Akizungumza…

Read More

Kocha Burkina Faso aanza visingizio

BAADA ya Burkina Faso kuchapwa mabao 2-0 na Tanzania katika mechi ya ufunguzi ya CHAN, kocha wa timu hiyo, Issa Balbone amesema sababu kubwa ni kuchelewa kufika Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mechi hiyo, Balbone amesema timu hiyo ilichelewa kufika Dar es Salaam hali iliyosababisha wachezaji kushindwa kucheza vizuri. “Tulifika…

Read More

KAMISHNA BADRU AKAGUA UENDELEZAJI WA ENEO LA MSOMERA.

Na Mwandishi wetu. Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Abdul-razaq Badru ametembea kijiji cha Msomera kilichopo wilayani Handeni Mkoani Tanga kujionea uendelezaji wa eneo hilo ambalo linatumika kwa ajili ya kuwamishia wananchi  tarafa ya Ngorongoro wanaojiandikisha kuhama kwa hiari. Akiwa na mwenyeji wake mkuu wa wilaya ya Handeni mhe. Salum Nyamwese,kamishna…

Read More

Winga akaribia kutua Singida Black Stars

TIMU ya Singida Black Stars inakaribia kumsajili nyota wa Stand United ‘Chama la Wana’, Yusuph Khamis baada ya mabosi wa kikosi hicho kuvutiwa na uwezo wake aliouonyesha kwenye Ligi ya Championship msimu uliopita. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata zinaeleza mabosi wa Singida Black Stars wanamfuatilia kwa ukaribu mchezaji huyo, ambaye msimu uliopita akiwa na Stand aliifungia…

Read More