Kagawa anukia Coastal Union | Mwanaspoti

UONGOZI wa Coastal Union unadaiwa kufikia hatua nzuri ya kuinasa saini ya aliyekuwa kiungo wa Geita Gold, Ally Ramadhan Kagawa akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na waajiri wake wa zamani. Kagawa amemaliza mkataba na Geita Gold ambayo inashiriki Ligi ya Championship na inaelezwa mazungumzo baina ya pande zote mbili yanakwenda vizuri huku muda…

Read More

Mgaboni kupishana na Mnigeria Tabora United

UONGOZI wa Tabora United uko katika mazungumzo ya kuachana na aliyekuwa kipa wa kikosi hicho, Mgaboni Jean-Noel Amonome, ikiwa ni muda mfupi tu tangu ifikie makubaliano ya kumsajili Japhet Opubo aliyetokea Lobi Stars FC ya Nigeria. Amonome aliyecheza timu za FC 105 Libreville ya kwao Gabon, AmaZulu FC, Royal Eagles na Uthongathi FC za Afrika…

Read More

Célestin Ecua atuma salamu nzito

SAA chache baada ya Célestin Ecua kutambulishwa kuwa mchezaji wa Yanga, mwenyewe ameibuka na kutuma ujumbe wenye ahadi ya kufanya vizuri zaidi kuipa mafanikio klabu hiyo ambayo msimu uliopita ilibeba mataji matano ambao ni Kombe la Toyota, Ngao ya Jamii, Kombe la Muungano, Ligi Kuu Bara na Kombe la FA. …

Read More

WANANCHI LAZIMA WANUFAIKE NA UWEKEZAJI- MHE. MCHENGERWA

“Hadi sasa kwa jitihada tulizozifanya mimi na Serikali yetu matunda yameanza kuonekana kwani tayari wawekezaji wakubwa katika eneo la viwanda vikubwa wameomba kuja kuwekeza kilichobaki ni kusimamia ili tuweze kuwapa fursa za ajira ambazo wameshaahidi kuzitoa kwa vijana na akina mama”. Amefafanua Mhe. Mohamed Mchengerwa Amesema katika kipindi chote akiwa Mbunge wa Rufiji amebeba ndoto…

Read More

Afisa wa UN anaamua kupigwa kwa Ukraine, anahimiza kurudi kwenye diplomasia – maswala ya ulimwengu

Mabalozi wakuu katika Baraza la UsalamaMiroslav Jenča, Katibu Mkuu-Mkuu wa Ulaya katika Idara ya Mambo ya Siasa na Amani (DPPA), alifanya upya wito wa kusitisha mapigano mara moja na kurudi kwa diplomasia kumaliza uharibifu. “Watu wa Kiukreni wamevumilia karibu miaka mitatu na nusu ya kutisha sana, kifo, uharibifu na uharibifu. Wanahitaji haraka utulivu kutoka kwa…

Read More

TANZANIA YAANZA VYEMA CHAN 2025

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TIMU ya Taifa ya mpira wa miguu Tanzania (Taifa Stars) imeanza vizuri michuano ya CHAN 2025 baada ya kufanikiwa kuichapa Burkina Faso mabao 2-0 katika mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo. Katika mchezo huo ambao ulitanguliwa na shamrashamra za sherehe za ufunguzi, Taifa Stars akiwa nyumbani uwanja wa Benjamini Mkapa…

Read More

PROFESA MSOFE AZURU BANDA LA NEMC MAONESHO YA NANENANE- DODOMA

Naibu katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Profesa Peter Msofe ametembelea Banda la NEMC lililoko viwanja vya Nanenane Nzuguni , Jijini Dodoma. Akiwa bandani hapo, alifurahishwa na elimu ya Mazingira inayotolewa hususani ya namna bora ya kufanya kilimo, uvuvi na ufugaji unaozingatia utunzaji wa mazingira kwa mstakabali wa maendeleo endelevu nchini. Amefurahishwa na…

Read More