UBUNIFU WA KISAYANSI SUA WAMVUTIA MHE. PINDA NANENANE 2025

Farida Mangube, Morogoro  Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Mizengo Pinda, ametembelea banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika kwenye Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, mkoani Morogoro, na kuvutiwa na ubunifu na teknolojia mbalimbali zinazolenga kuboresha kilimo na maisha ya wakulima. Katika ziara hiyo, Mhe. Pinda alipokelewa na Makamu Mkuu…

Read More

Kocha mpya Yanga ashuhudia mavitu ya Mzize Stars

KOCHA mpya wa Yanga, Romain Folz ni miongoni mwa watu waliofika katika Uwanja wa Mkapa kushuhudia mchezo wa ufunguzi kati ya Tanzania na Burkina Faso katika ufunguzi wa mashindano ya CHAN. Kocha huyo ameambatana na benchi lote la wasaidizi wake ambao ni kocha wa makipa, mkurugenzi wa benchi la ufundi na kocha wa viungo wote…

Read More

“Hakuna mtu anayepaswa kulazimishwa kuhatarisha maisha yao kupata chakula,” anasema shirika la umoja wa kibinadamu – maswala ya ulimwengu

Kunyimwa kwa miezi mingi ya bidhaa za msingi za kudumisha maisha kumesababisha kuongezeka kwa shida. Zaidi ya watu 100 waliuawa, na mamia ya wengine walijeruhiwa, njiani za chakula na karibu na vibanda vya usambazaji wa Israeli katika siku mbili zilizopita. Kama mtu mmoja kati ya watatu kwa sasa huenda siku bila chakula, Ocha alisisitiza kwamba…

Read More

Rayvanny aibua shangwe ufunguzi CHAN 2024

DAKIKA chache kabla ya mchezo wa ufunguzi kati ya wenyeji Tanzania dhidi ya Burkina Faso uliofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa, msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rayvanny ameibua shangwe kwa mashabiki. Staa huyo ameingia uwanjani kutumbuiza katika sherehe za ufunguzi wa michuano hiyo akiimba wimbo wa Kitu Kizito aliomshirikisha Misso Misondo na kuibua vaibu kubwa…

Read More

NIRC yaja na Teknolojia Mpya za Umwagiliji Nane Nane Dodoma, 2025

……………. 📍NIRC:Dodoma Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC)imewasilisha teknolojia mpya za kisasa za umwagiliaji katika kijiji cha Mitambo kwenye maonyesho ya nanenane Dodoma. Teknolojia hizo ni pamoja na mitambo ya umwagiliaji kwa njia ya mvua (CENTER PIVOT), mashine za uchimbaji wa visima, mabwawa na umwagiliaji kwa njia mbalimbali ikiwemo za matone, lengo ni kutoa elimu…

Read More