
Morocco ataja jeshi la kuivaa Burkina Faso, Mzize aachiwa msala
KOCHA wa Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, ametaja kikosi cha nyota 11 watakaoanza katika mechi ya ufunguzi wa michuano ya CHAN 2024 dhidi ya Burkina Faso. Katika kikosi hicho, Clement Mzize atakuwa anaongoza mashambulizi, akishirikiana na Abdul Suleiman ‘Sopu’ na Iddi Seleman ‘Nado’ watakaotokea pembeni huku Feisal Salum ‘Fei Toto’ akiunganisha safu ya kiungo cha…