Watiania ubunge, uwakilishi Chaumma kujulikana kesho

Arusha. Zikiwa zimesalia siku nne kwa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kufanya uteuzi wa watiania wa nafasi za urais, ubunge na udiwani, Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kinatarajia kupitisha majina ya wagombea wake kesho, Agosti 24, 2025, baada ya kikao chake kilichoanza leo. Vyama vya siasa nchini vinaendelea na mchakamchaka wa kuwateua…

Read More

Wasichana milioni mbili wanufaika na elimu ya stadi za maisha

‎Dodoma. Takribani wasichana milioni mbili wanaosoma elimu ya sekondari wamenufaika na mradi wa kuwawezesha kumaliza elimu yao bila vizuizi baada ya kupata elimu ya stadi za maisha iliyowawezesha kufikiria kabla ya kufanya uamuzi. ‎Aidha, elimu hiyo imesaidia wasichana wanaosoma sekondari kutoka mikoa ya Morogoro, Tanga, Pwani na Dar es salaam kupunguza utoro kutoka asilimia saba…

Read More

AAFP itakavyoimarisha utii wa Katiba, utawala bora

Moshi. Katika eneo ambalo limekuwa na mijadala kupitia vyombo vya asili vya habari na mitandao ya kijamii ni suala la utawala bora na utii wa Katiba na kwa kutambua hilo, Chama cha Wakulima (AAFP), kimeliingiza suala hilo katika ilani yake ili kulipatia mwarobaini. Katika nchi zinazofuata misingi ya utawala bora, Katiba ndiyo mamlaka ya juu…

Read More

MALEZI BORA YA WATOTO KUANZIA UMRI WA AWALI

Chuo cha Ustawi wa Jamii (ISW) ni miongoni mwa vyuo bora ambavyo vinatoa wataalamu mbalimbali wanaoisaidia jamii kutoka katika changamoto kwa kuleta suluhu hasa za kisaikolojia.  Katika kuendelea kuhudumia jamii na kuifanya kuwa bora zaidi, Chuo hicho kimeanzisha program nyingine nne mpya katika mwaka wa masomo wa 2025 /2026. Program hizo zinalenga katika kuongeza wigo…

Read More

BODI YA UTALII TANZANIA YAWAKARIBISHA MA-CEO ARUSHA KUSHIRIKI KIKAO KAZI,AWAOMBA KUTEMBELEA VIVUTIO VYA UTALII VILIVYOPO

Na Mwandishi Wetu MKURUGENZI Mkuu wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru, amewakaribisha rasmi wageni na washiriki wote wa Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji Wakuu wa Taasisi za Umma (CEOs Forum 2025) kitakachofanyika kuanzia Agosti 23 hadi 26 , 2025 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha AICC, jijini Arusha. Amesema…

Read More

SERIKALI YAWEZESHA HUDUMA ZA POSTA KIDIJITALI KUPITIA VIFAA VYA TEHAMA KUTOKA UCSAF

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Jerry Silaa, amesema Serikali ya Awamu ya Sita imejipanga kuhakikisha huduma za msingi ikiwemo Posta, Mawasiliano, intaneti na huduma za kifedha za kidijitali zinawafikia wananchi wote bila kujali jiografia.  Waziri Silaa aliyasema hayo jijini Dar es Salaam, Agosti 22, 2025, katika hafla ya makabidhiano ya vifaa vya…

Read More

Wanandoa wauawa kikatili, miili yachomwa moto

Mbeya. Wanandoa wanaodaiwa kuwa raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) wameuawa katika Kijiji cha Chafuma, wilayani Momba. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Jeshi la Polisi Agosti 23, 2025 tukio la mauaji lilitokea Kata ya Kapele iliyo Tarafa ya Ndalambo, juzi Agosti 22, saa nane mchana. Taarifa hiyo iliyotolewa na Kamanda…

Read More

Wasiojulikana wajeruhi, watoweka na Sh20 milioni

Same. Watu wasiojulikana wamemvamia na kumjeruhi kwa mapanga Yusto Mapande, mwenyekiti mstaafu wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro. Mapande alijeruhiwa alipokuwa akiingia nyumbani kwake akitokea kwenye biashara zake, pia ameporwa zaidi ya Sh20 milioni zilizokuwa kwenye gari lake. Mkuu wa Wilaya ya Same, Kasilda Mgeni amethibitisha tukio hilo akisema limetokea jana Agosti 22,…

Read More