Mgogoro wa ardhi kati ya wananchi, mgodi wa GGML wamalizika
Geita. Mgogoro uliodumu kwa miaka 26 kati ya wananchi wa mitaa ya Nyakabale na Nyamalembo na Mgodi wa Uchimbaji Madini wa Geita (GGML) hatimaye umefikia tamati, baada ya kampuni hiyo kukubali kuwalipa fidia wananchi ili waondoke na kupisha shughuli za uchimbajii. Mgogoro huo ulitokana na wananchi kuishi ndani ya vigingi vya leseni ya uchimbaji, jambo…