
BOLT NA TODA YAENDESHA MAFUNZO YA SIKU 10 KWA MADEREVA JIJINI DAR ES SALAAM
:::::::: Kampuni ya usafiri wa mtandaoni Bolt Tanzania, kwa kushirikiana na Chama cha Madereva Mtandaoni Tanzania (TODA), imezindua mafunzo ya siku 10 kwa madereva wake wa jijini Dar es Salaam. Programu hiyo inahusisha vipengele vitatu muhimu, ikiwemo mafunzo na vyeti vya Usafiri wa Umma (PSV) kwa ushirikiano na Taasisi ya Usafirishaji Tanzania (NIT), Moduli ya…