Rais Samia: K’koo ijifunze EACLC, vijana changamkie fursa za ajira

Dar es Salaam. Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akiitaka Jumuiya ya Wafanyabiashara Kariakoo kwenda kujifunza ufanyajibiashara kidijitali katika Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC), amewataka vijana kuchangamkia fursa zilizopo ili kujipatia kipato. Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Ijumaa, Agosti 1, 2025 wakati akizindua rasmi kituo cha EACLC ambacho kimegharimu Sh282.7 bilioni hadi…

Read More

Mawakili, TLS wataka askari aliyemsukuma Lissu kushughulikiwa

Dar es Salaam. Mawakili wa Tundu Lissu, ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema wamelaani kitendo cha askari wa Jeshi la Magereza kumsukuma mteja wao mahakamani. Wameiomba Mahakama na Jeshi la Magereza kuchukua hatua kuzuia vitendo vinavyofanywa na askari hao. Tukio linalolalamikiwa lilitokea Julai 30, 2025 baada ya kuahirishwa kesi ya uhaini inayomkabili Lissu katika Mahakama ya…

Read More

Mbeya City yafuata beki Zenji

TIMU za Tanzania Bara zinaendelea kuvuka maji kuja visiwani Zanzibar kufanya usajili wa wachezaji kuboresha vikosi vyao kwa lengo la kujiandaa na msimu ujao wa 2025-26 wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Baada ya Yanga na Tabora United, sasa ni zamu ya Mbeya City kutua visiwani hapa kwa ajili ya kusaka saini ya beki wa KVZ,…

Read More

Beki Simba abariki usajili wa Sowah

BAADA ya kuitumikia Simba kwa misimu miwili na kutimkia USM Alger ya Algeria, beki Fondoh Che Malone ameupongeza uongozi wa timu hiyo kunasa saini ya Jonathan Sowah aliyemtaja ni miongoni mwa washambuliaji bora aliowahi kukutana nao. Che Malone aliyesajiliwa misimu miwili iliyopita kutoka…

Read More

Ibenge: Wiki mbili tu zinatosha

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema wiki mbili jijini Arusha zitatosha kutoa uelekeo wa maandalizi ya msimu mpya, huku akiweka wazi ameona mwanga baada ya kukuutana na wachezaji  na kuzungumza na mmoja mmoja. Azam kabla ya kuondoka jijini mapema leo kwenda Arachuga, walikuwa na siku tatu za maandalizi ambapo kocha alipata nafasi ya…

Read More

Polisi waua watatu wanaodaiwa majambazi Kigoma

Kigoma/Mtwara. Watu watatu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wameuawa katika majibizano ya risasi na polisi mkoani Kigoma. Watu hao wanaodaiwa kupanga kufanya unyang’anyi kwa kutumia silaha, wanadiwa kukutwa bunduki moja AK 47, magazine 1 ikiwa na risasi 10, bunduki iliyotengeneza kienyeji, visu viwili, panga  na marungu matatu. Tukio hilo lilitokea usiku wa Julai 31, 2025 katika…

Read More