Hukumu ya Sophia, mwanaye wanaodaiwa kuua mwanafamilia, ‘yapigwa kalenda’
Dar es Salaam. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imepanga Septemba 23, 2025 kutoa hukumu katika kesi ya mauaji ya mwanafamilia inayowakabili Sophia Mwenda (64) na mwanaye wa kiume Alohonce Magombola (39). Kesi hiyo ilipangwa kutolewa hukumu hiyo leo, Agosti 22, 2025, lakini imesogezwa mbele hadi tarehe hiyo kwa kile kilichoelezwa Mahakama hapo kuwa…