Ushirikiano wa DSE, Tira kuongeza ufanisi sekta ya fedha

Dar es Salaam. Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (Tira) imesaini Hati ya Makubaliano (MoU) na Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) yenye lengo la kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya kukuza bidhaa za kifedha bunifu, hasa suluhisho za bima zinazoweza kuorodheshwa sokoni, sambamba na kuboresha elimu ya fedha kwa umma. Akizungumza Ijumaa,…

Read More

Wakazi wa Mbezi, Kimara kupata ahueni ya foleni

Dar es Salaam. Wakati wakazi wa Mbezi na Kimara wakikumbana na adha ya foleni, Serikali imesema ujenzi wa njia nane katika Barabara Morogoro kutoka Ubungo – Kimara yenye urefu wa kilomita 5, umefikia asilimia 60. Hayo yamesemwa leo Ijumaa, Agosti Mosi, 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila wakati Rais wa…

Read More

REA YATOA ZAIDI YA BILIONI 4 KUZALISHA UMEME WA MAJI LUPALI

-Utekelezaji wa mradi wafikia asilimia 98 -Bodi ya nishati Vijijini yasisitiza mradi ukamilike kwa wakati -Mradi kupunguza matumizi ya nishati isiyo rafiki na mazingira -Njombe Wakala wa Nishati Vijijini (REA), imetoa kiasi cha shilingi bilioni 4.6 kwenye mradi wa kuzalisha umeme wa maji Lupali wenye uwezo wa kuzalisha kilowati 317 unaotekelezwa na shirika la Benedictine…

Read More

Yajue magari yaliyopewa msamaha na TRA

Dar es Salaam. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetoa msamaha wa kodi kwa magari yaliyoingizwa Tanzania bila kukidhi matakwa ya Sheria ya forodha ikiwamo yaliyoingizwa nchini kwa muda bila kurudishwa yalikotoka. Mengine ni yale magari yaliyoingia Tanzania Bara kutokea Zanzibar bila kufuata taratibu za kiforodha, yaliyoingizwa nchini kwenda nchi nyingine (transit) na yakabakizwa au kutelekezwa…

Read More

Polisi mguu sawa CHAN 2024

Jeshi la Polisi nchini linaeleza limejipanga kwa kiwango cha juu kuhakikisha usalama katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024, huku likionya vikali wale wote watakaotumia mashindano hayo kufanya vitendo vya kihalifu kama wizi, uporaji au uhalifu ndani au nje ya viwanja. Michuano hiyo inatarajiwa kuanza kesho Agosti 2,…

Read More

EACLC kitakavyokuza biashara za kimataifa

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC), Dk Lisa Wang amesema Kituo hicho kitawezesha wafanyabiashara wa Tanzania kupanua biashara zao kikanda na  kimataifa. Ametoa kauli hiyo wakati wa hafla ya kufungua rasmi kituo hicho iliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan leo, Agosti Mosi 2025. Kituo hicho kimegharimu Sh282.7 bilioni…

Read More

TADB YACHANGIZA MAGEUZI SEKTA YA KILIMO NCHINI

Na Mwandishi wetu, Dodoma Serikali ya Awamu ya Sita imefanikiwa kuleta mapinduzi ya kilimo kwa vitendo kupitia mikopo yenye riba nafuu na uwezeshaji wa wakulima wadogo na wa kati kupitia Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB). Hayo yamesemwa leo Agosti 1, 2025 katika viwanja vya NaneNane jijini Dodoma na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya…

Read More