Faida za kutibu mapema busha, ngiri
Dar/Pwani. Imani potofu kuhusu ugonjwa wa mabusha bado zinatesa jamii za Pwani, ingawaje tiba ipo, lakini hofu na aibu zinazuia wengi kusaka matibabu, huku watu 778,415 wakitajwa kuwa hatarini. Bagamoyo ni miongoni mwa wilaya tano, ambazo bado waathirika wa ugonjwa mabusha wamesalia, huku baadhi yao wakitafuta tiba za mitishamba na wengine kwa waganga wa kienyeji….