Fadlu aliamsha Simba, Kapombe akiachiwa msala

BAADA ya aliyekuwa nahodha wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ kutimka kikosini humo inaelezwa kuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids amemwachia msala Shomari Kapombe kwa kupendekeza beki huyo mkongwe kuvaa kitambaa cha unahodha. Tshabalala ameondoka Simba baada ya miaka 14 na inatajwa…

Read More

Yanga kazi imeanza! | Mwanaspoti

MABOSI wa Yanga wameshamaliza kazi ya kusajili majembe ya maana kwa kikosi cha msimu ujao wa mashindano, ikiwamo kushusha makocha wapya katika benchi la ufundi na leo benchi hilo chini ya kocha Romain Folz linaanza rasmi kazi ya kukinoa kikosi hicho kwa maandalizi ya msimu mpya. …

Read More

Nchini Myanmar, migogoro na mafuriko yanagongana kama onyo la UN juu ya shida kubwa – maswala ya ulimwengu

Farhan Haq, msemaji wa naibu wa UN, alisisitiza hitaji la shughuli za misaada ambazo hazijafikiwa na njia ya amani kutokana na shida. “UN inabaki na wasiwasi na vurugu zinazoendelea nchini Myanmar, pamoja na bomu ya angani inayopiga raia na miundombinu ya raia,“Alisema, katika mkutano wa waandishi wa habari huko New York. “Raia na wafanyikazi wa…

Read More