Askari wanyamapori watakiwa kuongeza uadilifu kuimarisha uhifadhi

Arusha. Askari wa wanyamapori nchini wametakiwa kuongeza uzalendo na uadilifu katika kulinda rasilimali hizo muhimu kwa mustakabali wa taifa ili ziendelee kuongeza mapato ya Taifa yatokanayo ya utalii. Aidha, wadau wa utalii ikiwemo taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii wametakiwa kuhakikisha wanachukua hatua za kiuhifadhi hasa katika mazingira haya ya mabadiliko ya…

Read More

Simba yampa miwili kiungo Mkenya

SIMBA inaendelea kushusha vyuma kwa ajili ya msimu ujao na safari hii imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa Ulinzi Starlets, Fasila Adhiambo kwa mkataba wa miaka miwili. Huu utakuwa usajili wa nne kwa Simba Queens baada ya kukamilisha usajili wa beki wa Yanga Princess, Asha Omary, mshambuliaji kutoka Rwanda, Zawadi Usanase na kipa Mganda, Ruth…

Read More

Baraza aanza na kipa, atoa sababu

BAADA ya kutua Pamba kuchukua mikoba ya Fred Felix ‘Minziro’, Mkenya Francis Baraza ameutaka uongozi wa klabu hiyo kuhakikisha wanambakiza kipa namba moja wa timu hiyo, Yona Amos. Baraza aliyeingia makubaliano ya mwaka mmoja kuinoa Pamba, alitambulishwa rasmi juzi Julai 30, 2025, katika ofisi za halmashauri ya Jiji la Mwanza. Baraza aliyewahi kuzinoa Dodoma Jiji,…

Read More

Fountain Gate yambeba kocha Mnigeria

MABOSI wa Fountain Gate wapo katika mazungumzo ya kumuajiri aliyekuwa kocha mkuu wa 1472 FC ya Nigeria, Ortega Deniran, ili kukiongoza kikosi hicho msimu ujao akichukua nafasi ya Mohamed Ismail ‘Laizer’ aliyekuwa akikaimu nafasi hiyo kumalizia msimu uliopita. Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo, zimeliambia Mwanaspoti Ortega ambaye ni raia wa Nigeria amepewa…

Read More

Sina wasiwasi na Minziro, Maxime

WAKATI timu zao zikikaribia kuanza maandalizi ya msimu mpya, Dodoma Jiji na Pamba Jiji  zimefanya uamuzi unaofanana kama majina yao yalivyo mwishoni. Zote zimevunja mabenchi yao ya ufundi ambayo yameziongoza timu hizo katika msimu uliopita na zimeingiza sura mpya ambazo zitazinoa katika msimu unaokuja wa 2025/2026. Dodoma Jiji imeachana na Mecky Maxime aliyeiongoza timu hiyo…

Read More

PROFESA MSOFE ARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA NEMC

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Profesa Peter Msofe ameonekana kuridhishwa na utendaji kazi na uwajibikaji wa watumishi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) katika utekelezaji wa majukumu ya Mazingira hasa usimamizi wa utekelezaji wa Sheria ya Mazingira Nchini. Hayo yamedhihirika wakati alipotembelea Ofisi za Baraza jijini…

Read More