
Askari wanyamapori watakiwa kuongeza uadilifu kuimarisha uhifadhi
Arusha. Askari wa wanyamapori nchini wametakiwa kuongeza uzalendo na uadilifu katika kulinda rasilimali hizo muhimu kwa mustakabali wa taifa ili ziendelee kuongeza mapato ya Taifa yatokanayo ya utalii. Aidha, wadau wa utalii ikiwemo taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii wametakiwa kuhakikisha wanachukua hatua za kiuhifadhi hasa katika mazingira haya ya mabadiliko ya…