CCM ilivyobadili gia angani mchakato wa udiwani

Dar es Salaam. Wakati Sekretarieti ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, imeelekeza kurudishwa kwa watiania wote wa udiwani waliokuwa wameenguliwa wakapigiwe kura za maoni, wadau wa siasa wanasema uamuzi huo ni kiashiria kwamba kulikuwa na hila wakati wa uteuzi. Uamuzi wa sekretarieti umefungua milango kwa makada wote waliochukua fomu kuomba nafasi ya udiwani katika kata…

Read More

INEC: Changamoto ya mawakala tumejirekebisha

Dar es Salaam. Tume ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema imezifanyia kazi changamoto mbalimbali mawakala katika chaguzi zilizopita na kuwa hazitatokea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Jumatano, Oktoba 29, 2025. Hakikisho hilo limetolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa INEC, Kailima Ramadhani leo Ijumaa, Agosti 1, 2025 jijini Dar es Salaam katika Kikao baina…

Read More

TTB yaja na ‘tinga CHAN, tinga Tanzania’

SAA 48 kabla ya fainali za Ubingwa wa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 kuanza rasmi kwa mechi ya ufunguzi itakayofanyika kesho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam, Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imezindua kampeni maalumu ya fainali hizo zitakazomalizika Agosti 20. Fainali hizo za nane zinazofanyika kwa mara ya kwanza Afrika Mashariki ikiandaliwa…

Read More

Mzize hatihati ufunguzi Chan 2024

STRAIKA tegemeo wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Clement Mzize yupo katika hatihati ya kucheza mechi ya ufunguzi ya fainali za michuano ya Kombe la Ubingwa kwa Mataifa ya Afrika (Chan) 2024 dhidi ya Burkina Faso. Fainali hizo za Nane tangu kuasisiwa kwa michuano hiyo inatarajiwa kuanza rasmi kesho Jumamosi kwa pambano la…

Read More

Samia awatoa hofu wafanyabiashara Kariakoo ujio wa EACLC

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Kituo cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC) kilichopo Ubungo hakijaanzishwa kushindana na Soko la Kariakoo, bali kuimarisha biashara na kuwa mfano wa kufundisha namna bora ya kuendesha masoko makubwa nchini. “Kuwepo kwa kitu hiki si mshindani wa Soko la Kariakoo. Soko la Kariakoo limejenga jina kwa…

Read More

Serikali yacharuka ukatili wa kijinsia, maelfu wakiokolewa

Mbeya. Wakati watu 3,735 wakiokolewa na vifo vya mama na mtoto kupitia mpango wa Dharura Fasta, Serikali imetaka wanaofanya ukatili wa kijinsia kuripotiwa na kuchukuliwa hatua za kisheria haraka. Pia, imesema ili kuondokana na wimbi kubwa la watoto mitaani, wazazi na walezi waelimishwe juu ya upendo na ushirikiano kwenye ndoa badala ya kuishi kwa migogoro….

Read More

Morocco: Tupo tayari, tukutane Kwa Mkapa

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kesho Jumamosi kitashuka uwanjani katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Fainali za Kombe la Ubingwa wa Nchi za Afrika (Chan) 2024 dhidi ya Burkina Faso, huku kocha wa timu hiyo, Hemed Suleiman ‘Morocco’ akitamba wapo tayari kwa vita. Tanzania ambao ni wenyeji wa fainali hizo…

Read More

Askari wanyamapori watakiwa kuongeza uadilifu kuimarisha uhifadhi

Arusha. Askari wa wanyamapori nchini wametakiwa kuongeza uzalendo na uadilifu katika kulinda rasilimali hizo muhimu kwa mustakabali wa taifa ili ziendelee kuongeza mapato ya Taifa yatokanayo ya utalii. Aidha, wadau wa utalii ikiwemo taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii wametakiwa kuhakikisha wanachukua hatua za kiuhifadhi hasa katika mazingira haya ya mabadiliko ya…

Read More