Tabia hizi za ulaji hatari kwa afya

Mwanza. Tabia ya kula chakula harakaharaka au mtu kujihusisha na shughuli nyingine wakati wa mlo kama vile kutumia simu, kuzungumza sana, kusoma au kuangalia runinga, imetajwa kuwa chanzo cha matatizo mengi ya kiafya yanayoshuhudiwa katika jamii. Wataalamu wa afya na lishe wanasema mwenendo huo una athari kubwa kiafya, ikiwemo kuvuruga mfumo wa mmeng’enyo wa chakula,…

Read More

Mama mwenye kisukari fanya haya kabla na baada ya kujifungua

Dar es Salaam. Mara tu mwanamke mwenye kisukari anapopata ujauzito, ufuatiliaji wa sukari unapaswa kuimarishwa. Viwango vya sukari hubadilika haraka katika kipindi hiki kutokana na homoni za ujauzito, na hivyo kuna haja ya kurekebisha dozi za insulini au dawa zingine mara kwa mara. Uhudhuriaji wa  kliniki unapaswa kuwa wa mara kwa mara, ukihusisha mtaalamu wa…

Read More

Yanga kazi imeanza! | Mwanaspoti

MABOSI wa Yanga wameshamaliza kazi ya kusajili majembe ya maana kwa kikosi cha msimu ujao wa mashindano, ikiwamo kushusha makocha wapya katika benchi la ufundi na leo benchi hilo chini ya kocha Romain Folz linaanza rasmi kazi ya kukinoa kikosi hicho kwa maandalizi ya msimu mpya. …

Read More

Nchini Myanmar, migogoro na mafuriko yanagongana kama onyo la UN juu ya shida kubwa – maswala ya ulimwengu

Farhan Haq, msemaji wa naibu wa UN, alisisitiza hitaji la shughuli za misaada ambazo hazijafikiwa na njia ya amani kutokana na shida. “UN inabaki na wasiwasi na vurugu zinazoendelea nchini Myanmar, pamoja na bomu ya angani inayopiga raia na miundombinu ya raia,“Alisema, katika mkutano wa waandishi wa habari huko New York. “Raia na wafanyikazi wa…

Read More