ETDCO YAIFIKIA KONGANI YA VIWANDA YA KWALA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wakati akiweka jiwe la msingi katika Kongani ya Viwanda ya Kwala, Mkoani Pwani, kwa ajili ya ujenzi wa viwanda 200 vya kisasa ambapo TANESCO, kupitia Kampuni Tanzu ya ETDCO, tayari imekamilisha ujenzi wa njia ya…

Read More

Hizi hapa faida za Yoga kiafya

Yoga ni  zoezi maarufu duniani lililobuniwa na wahenga wa nchini India,  kiasi cha kulifanya kuwa zoezi la kitamaduni na hatimaye kuwa maarufu nchini humo na nje ya nchi. Mamilioni ya watu duniani hulifanya sehemu ya maisha yao kwa ajili ya kuboresha afya ya mwili kiujumla ikiwamo afya ya akili.  Hii ni kutokana kuhusisha utendaji wa…

Read More

Tabia hizi za ulaji hatari kwa afya

Mwanza. Tabia ya kula chakula harakaharaka au mtu kujihusisha na shughuli nyingine wakati wa mlo kama vile kutumia simu, kuzungumza sana, kusoma au kuangalia runinga, imetajwa kuwa chanzo cha matatizo mengi ya kiafya yanayoshuhudiwa katika jamii. Wataalamu wa afya na lishe wanasema mwenendo huo una athari kubwa kiafya, ikiwemo kuvuruga mfumo wa mmeng’enyo wa chakula,…

Read More

Mama mwenye kisukari fanya haya kabla na baada ya kujifungua

Dar es Salaam. Mara tu mwanamke mwenye kisukari anapopata ujauzito, ufuatiliaji wa sukari unapaswa kuimarishwa. Viwango vya sukari hubadilika haraka katika kipindi hiki kutokana na homoni za ujauzito, na hivyo kuna haja ya kurekebisha dozi za insulini au dawa zingine mara kwa mara. Uhudhuriaji wa  kliniki unapaswa kuwa wa mara kwa mara, ukihusisha mtaalamu wa…

Read More

Fadlu aliamsha Simba, Kapombe akiachiwa msala

BAADA ya aliyekuwa nahodha wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ kutimka kikosini humo inaelezwa kuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids amemwachia msala Shomari Kapombe kwa kupendekeza beki huyo mkongwe kuvaa kitambaa cha unahodha. Tshabalala ameondoka Simba baada ya miaka 14 na inatajwa…

Read More

Yanga kazi imeanza! | Mwanaspoti

MABOSI wa Yanga wameshamaliza kazi ya kusajili majembe ya maana kwa kikosi cha msimu ujao wa mashindano, ikiwamo kushusha makocha wapya katika benchi la ufundi na leo benchi hilo chini ya kocha Romain Folz linaanza rasmi kazi ya kukinoa kikosi hicho kwa maandalizi ya msimu mpya. …

Read More

Nchini Myanmar, migogoro na mafuriko yanagongana kama onyo la UN juu ya shida kubwa – maswala ya ulimwengu

Farhan Haq, msemaji wa naibu wa UN, alisisitiza hitaji la shughuli za misaada ambazo hazijafikiwa na njia ya amani kutokana na shida. “UN inabaki na wasiwasi na vurugu zinazoendelea nchini Myanmar, pamoja na bomu ya angani inayopiga raia na miundombinu ya raia,“Alisema, katika mkutano wa waandishi wa habari huko New York. “Raia na wafanyikazi wa…

Read More