JAPAN KUWAJENGEA UWEZO VIJANA WA TANZANIA KATIKA SEKTA YA UJENZI

:::::::::: Tanzania na Japan zimesaini Hati ya Makubaliano ya ushirikiano (MoU) katika uendelezaji wa rasilimali watu katika sekta ya ujenzi.  Uwekaji saini wa MoU hiyo umefanywa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) na Naibu Waziri wa Ardhi, Miundombinu, Usafirishaji na Utalii (anayeshughulikia Miradi ya…

Read More

Dar-si-Salama ilivyomfyatua Fyatu na yeye akafyatuka!

Baada ya kukaa majuu kwa ngwe nyingi, kfyatufyatu si nikajitia kiherehere na mbambamba kwenda kujinoma Dar––si––Salama. Badaa ya kwenda Arusha, Moshi, na Ushoto na kufaidi kila kitu na makandokando, likaja wazo la kufyatua kitu hiki na namna nilivyofyatuliwa kulhali. Bila hili wala lile, niliamua kutua Dar-si-Salama japo kujikumbusha zama zangu Dar. Mara hii, sikufikia Kariakoo…

Read More

Simulizi pacha walioungana kwa miaka 35, mmoja aolewa

Dar es Salaam. Pacha walioungana, Abby na Brittany Hensel wametumia zaidi ya miaka 30 ya maisha yao wakiishi kwa mshikamano wa kipekee, tofauti kabisa na pacha wengine unaowafahamu. Abby alifunga ndoa na mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Marekani, Joshua Bowling mwaka 2021, huku dada yake Brittany akibaki hana mwenzi. Wiki iliyopita, wawili hao wenye umri…

Read More

COSATO CHUMI AKUTANA NA MKURUGENZI WA KANDA YA UN WOMEN

:::::::; Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Cosato Chumi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Masuala ya Wanawake (UN Women), Bi. Anna Mutavati, anayefanya ziara ya kikazi nchini tarehe kuanzia 18–20 Agosti 2025. Mazungumzo…

Read More

SERIKALI, EQUITY BANK WACHANGIA ELIMU KWA MADAWATI

 :::::::: Serikali wilayani Geita imezitaka taasisi mbalimbali nchini kuendelea kujitolea kusaidia sekta ya elimu kama njia ya kuchangia maendeleo ya taifa. Akizungumza wakati wa kupokea msaada wa madawati 100 yaliyotolewa na Benki ya Equity Tanzania kwa Shule ya Sekondari ya Wasichana Nyankumbu, Afisa Tarafa wa Wilaya ya Geita Moreen Komanya alisema hatua kama hiyo ni…

Read More

Moto wateketeza nyumba ya mchungaji Tabora

Tabora. Moto umezuka na kuteketeza nyumba yenye vyumba tisa ambayo anaishi mmoja kati ya wachungaji wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Tabora iliyopo Barabara ya Kilimatinde, Kata ya Cheyo, Manispaa ya Tabora. Katika ajali hiyo ya moto iliyotokea usiku wa jana Jumatano, Agosti 20, 2025, hakuna mtu aliyepoteza maisha lakini mali mbalimbali zilizokuwamo zimeteketea. Mchungaji…

Read More

Namba zaibeba Stars, hesabu za robo zikianza

KATIKA msimu huu wa mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN 2024), takwimu zimeonyesha kuwa timu ya taifa la Tanzania ‘Taifa Stars’ ndio timu iliyofanya vizuri zaidi katika hatua ya makundi ambayo ilitamatika juzi, Jumanne kwa mechi mbili za kundi D. Katika mechi hizo, zilishuhudiwa Sudan na Senegal zikiungana na wenyeji, Tanzania,…

Read More

Dante mbioni kutua Kagera Sugar

BAADA ya aliyekuwa beki wa kati Andrew Vincent ‘Dante’ kuachana na KMC kutokana na mkataba kumalizika, kwa sasa yupo katika mazungumzo ya mwisho ya kujiunga na Kagera Sugar. Dante aliyeitumikia KMC kwa miaka mitano, huku akizichezea pia Yanga na Mtibwa Sugar kwa nyakati mbalimbali, anafanya mazungumzo hayo ya kujiunga na Kagera Sugar ambayo kwa msimu…

Read More