
Mkandala awindwa Coastal Union | Mwanaspoti
UONGOZI wa Coastal Union uko katika mazungumzo ya kumsajili aliyekuwa nyota wa Kagera Sugar FC, Cleophace Mkandala baada ya kiungo huyo kumaliza mkataba, huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mwingine mpya wa kukichezea pia kikosi hicho. Nyota huyo wa zamani wa matajiri wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, ameamua kutafuta changamoto sehemu nyingine…