BILIONI 26.15 ZAONDOA KERO YA MAFURIKO ENEO LA MTANANA

::::::::: Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) wameweza kuondoa kero ya mafuriko ya mara kwa mara ya maji yanayotokana na mvua katika eneo la Mtanana mkoani Dodoma kwa kunyanyua tuta la barabara wenye urefu wa kilometa sita ambao umegharimu Bilioni 26.15 Meneja wa TANROADS Mkoa wa Dodoma, Mhandisi Zuhura Amani amesema kuwa…

Read More

MRADI MKUBWA WA DHAHABU SENGEREMA KUCHOCHEA UKUAJI WA UCHUMI NCHINI-MAVUNDE

  ☑️ Serikali yasaini mkataba wa nyongeza ya hisa kutoka asilimia 16 hadi 20 na Kampuni ya Nyanzaga  ☑️ Mwekezaji arejesha Leseni Serikalini, Waziri Mavunde aagiza kupewa wachimbaji wadogo ☑️ Mradi kugharimu zaidi ya shilingi trilioni 1 ☑️ Ni mgodi mkubwa wa dhahabu kuanzishwa tangu 2009 ▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira wezeshi ya Uwekezaji 📍Sengerema,…

Read More

Ujenzi wa jengo la TBS Mwanza wafikia asilimia 47.7

Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Prof. Othman Chande imekagua mradi wa ujenzi wa jengo la maabara na ofisi za taasisi hiyo Kanda ya Ziwa unaotekelezwa eneo la Kiseke jijini Mwanza. Akizungumza Jumatano Agosti 20, 2025 baada ya ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa jengo la ‘Viwango House’,…

Read More

Devotha aahidi ubwabwa kwa wote Chaumma ikiingia Ikulu

Morogoro. Katika harakati za kushawishi wadhamini kwa mtiania wa urais wa Tanzania wa Chaumma, Salum Mwalimu, mtiania mwenza wake, Devotha Minja ameahidi kuboresha lishe nchini. Makamu huyo wa Mwenyekiti wa Chaumma Taifa, Hashim Rungwe upande wa Bara, amesema msimamo wa chama hicho ni kuwa na taifa la watu wanaoshiba kikiongoza Serikali. “Ndugu zangu kwa kutumia…

Read More

Mwendokasi Mbagala kuanza Septemba mosi

Dar es Salaam. Hatimaye kiu ya muda mrefu ya wakazi wa Mbagala inakwenda kupata ahueni baada Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) kusema huduma ya mabasi ya ‘Mwendokasi’ kwa Barabara ya Kilwa itaanza siku kumi zijazo yaani Septemba mosi mwaka huu. Mradi huo wa awamu ya pili wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) unaanza kutoa huduma baada…

Read More

Sharon akumbukwa kwa uchapa kazi, upendo kwa watu

Dar es Salaam. Wafanyakazi, ndugu na jamaa wa aliyekuwa Mwandishi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Sharon Sauwa wamemwelezea kama mtu aliyekuwa na bidii, upendo na mshauri kwa watu wote waliomzunguka. Sharon alifariki dunia alfajiri ya jana (juzi), akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili – Mloganzila. …

Read More

WAZIRI KOMBO AWASILI JIJINI YOKOHAMA (JAPAN) KUSHIRIKI MKUTANO WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA TICAD 9

:::::::::: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Yokohama, Japan kumwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu Maendeleo ya Afrika (Tokyo International Conference on African Development-TICAD 9) ambao unafanyika kwa ngazi…

Read More