Hizi hapa fursa za kiuchumi za uchaguzi mkuu

Dar es Salaam. Ukiacha mbilinge za kisiasa, vijembe na vituko katika majukwaa ya kampeni kuelekea uchaguzi mkuu, tukio hilo limebeba pia fursa za kiuchumi na biashara kwa wananchi. Kwa mujibu wa wadau mbalimbali wa biashara, tukio la uchaguzi linapaswa kutazamwa kwa jicho mtambuka, kwani linabeba fursa za kiuchumi na kibiashara, ambazo zinaweza kuwakwamua watu. Kuchapisha…

Read More

Waandishi, wadau wa habari wamlilia Sharon, wamtaja mwalimu aliyeondoka

Dodoma. Mwandishi mwandamizi wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Sharon Sauwa amefariki dunia. Sharon amekutwa na umauti alfajiri leo Agosti 19, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa matibabu. Kifo chake kimepokewa kwa mshtuko na wanahabari wenzake na wadau wa habari, ambao wamemweleza kama mtu aliyekuwa mwalimu na kiongozi wa kipekee katika…

Read More

Kesi anayedaiwa kujifanya ofisa polisi yakwama

Dar es Salaam. Kesi ya kujitambulisha kuwa ni askari polisi inayomkabili mfanyabiashara Msafiri Maulid (48), imeshindwa kuendelea na usikilizwaji, baada ya upande wa mashtaka kutokuwa na shahidi. Maulid, maarufu kama Msafiri Mahita na mkazi wa Mbezi Juu, anakabiliwa na shtaka moja la kujitambulisha kwa kepteni wa JWTZ kuwa yeye ni askari polisi na kuongozana na…

Read More

JACKLINE ISARO ACHUKUA FOMU RASMI KUGOMBEA UDIWANI NGOKOLO

Mgombea Udiwani Mteule Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Ngokolo, Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga, Jackline Isaro, akipokea Fomu za Uteuzi za kugombea nafasi ya Udiwani kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi kata ya Ngokolo Jacob Mwakaluba (kushoto). Na Kadama Malunde – Malunde 1 blog Mgombea Udiwani Mteule Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Ngokolo, Halmashauri…

Read More

Dk ‘Manguruwe’ afikisha siku 287 rumande, upelelezi bado

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40), maarufu Dk Manguruwe, amefikishwa siku 287 akiwa rumande kutokana na upelelezi wa kesi yake ya uhujumu uchumi, kutokamilika. Mkondya na mwenzake, Rweyemamu John (59), ambaye ni Mkaguzi wa fedha wa kampuni hiyo, wanakabiliwa na mashtaka 28 yakiwemo ya kuendesha biashara ya upatu…

Read More

Jussa: Hatuafiki kura ya mapema, chama kitatoa mwongozo

Unguja. Siku moja baada ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kueleza kuendelea kutumika utaratibu wa kawaida wa kura ya mapema, Chama cha ACT-Wazalendo kimewataka wananchi kisiwani humo watulie na suala hilo litashughulikiwa na viongozi wa chama hicho. Hayo yameelezwa leo Jumanne, Agosti 19, 2025  na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Ismail Jussa wakati akifungua kikao…

Read More

Wazawa washirikiana na wageni kuleta neema ubanguaji korosho

Mtwara. Ili kufanikisha malengo ya kuongeza kiwango cha korosho kinachobanguliwa nchini Kampuni ya South Saharan Engineering Limited (SSEL) na Akros Limited kwa kushirikiana na wawekezaji wa kigeni wanatarajia kujenga kiwanda cha kuzalisha mashine za kubangua zao hilo. SSEL inatarajia kushirikiana na kampuni ya JohnCashew Mashine kutoka nchini Vietnam, kiwanda kinatarajiwa kujengwa mkoani Mtwara eneo ambalo…

Read More