SEKTA YA BIMA YAKUA MARA DUFU CHINI YA RAIS SAMIA

 ::::::::: Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam SEKTA ya bima nchini imepiga hatua kubwa ya maendeleo ndani ya miaka minne tu ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, huku thamani ya mitaji ikiripotiwa kuongezeka kwa zaidi ya mara mbili. Kwa mujibu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), thamani ya mitaji katika soko…

Read More

WATAALAMU WA BAJETI NCHINI WATAKIWA KUBADILI MWELEKEO WA UTENDAJI KATIKA USIMAMIZI WA MIPANGO NA BAJETI

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma   Wataalamu wa bajeti  Nchini kubadili mwelekeo wa utendaji wao katika usimamizi wa mipango na bajeti za serikali, akisisitiza kuwa wao ndio nguzo kuu ya mafanikio au changamoto katika utekelezaji wa bajeti. Akizungumza leo Agosti 18,2025 jijini Ddooma wakati wa  kikao kazi cha tathmini ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2024/25…

Read More

ZEC YATANGAZA KURA YA MAPEMA KUPIGWA OKTOBA 28

Na Nihifadhi Abdulla Zanzibar. TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza rasmi ratiba ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 ambao utahusisha uchaguzi wa Rais wa Zanzibar, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi pamoja na Madiwani. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mwenyekiti wa ZEC, Jaji George J. Kazi, amesema kwa mamlaka aliyopewa chini ya kifungu cha 34(3)…

Read More

Uganda yaiduwaza Sauzi ikitinga robo CHAN 2024

MABAO mawili ya penalti ya dakika za majeruhi zimeibeba Uganda The Cranes kutinga robo fainali ikizifuata Tanzania na Kenya kama wenyeji kutunga hatua hiyo. Uganda ilipata sare ya 3-3 mbele ya Afrika Kusini ambao walishindwa kuamini kama wameng’oka baada ya kuongoza kwa muda mrefu kipindi cha pili kabla ya kuongezwa dakika 8 zilizowatibulia. Sare  iliyopatikana…

Read More

Mahakama Yapiga Marufuku Kesi ya Tundu Lissu Kurushwa Mubashara

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imepiga marufuku kurushwa mubashara (live) kwa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, katika hatua ya kusomewa maelezo ya mashahidi (committal proceedings). Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi Franco Kiswaga, baada ya kukubaliana na ombi la upande wa Jamhuri ukiongozwa na Wakili wa…

Read More

Uganda yaiduwaza Sauzi ikitinga robo

MABAO mawili ya penalti ya dakika za majeruhi zimeibeba Uganda The Cranes kutinga robo fainali ikizifuata Tanzania na Kenya kama wenyeji kutunga hatua hiyo. Uganda ilipata sare ya 3-3 mbele ya Afrika Kusini ambao walishindwa kuamini kama wameng’oka baada ya kuongoza kwa muda mrefu kipindi cha pili kabla ya kuongezwa dakika 8 zilizowatibulia. Sare  iliyopatikana…

Read More

Furahia Michezo Kila Sekunde na Meridianbet Virtuals

HIVI umewahi kujikuta unatamani kuweka jamvi lakini ratiba ya michezo haipo upande wako? Mechi kubwa zimekwisha, au weekend bado haijafika? Sasa huna haja ya kusubiri tena kwa sababu Meridianbet Virtuals imekuja kukupa burudani ya papo kwa papo na ushindi wa haraka kila dakika, kila sekunde. Kwenye ulimwengu huu mpya, kila kitu kinatokea haraka. Hakuna foleni,…

Read More