HANDENI MJI YAJA NA MWAROBAINI WA UTORO SHULENI

  HANDENI MJI YAJA NA MWAROBAINI WA UTORO SHULENI Na Mwandishi Wetu, Handeni HALMASHAURI ya Mji Handeni, mkoani Tanga kupitia Idara ya Elimu Msingi imepongezwa kwa kubuni mkakati maalum unaoongeza uwajibikaji wa wazazi katika kukabiliana na utoro shuleni. Pongezi hizo zimetolewa Agosti 18, 2025 mjini hapa na Mkuu wa Wilaya ya Handeni, mkoani Tanga, Mhe….

Read More

Urais mwiba kwa vyama vya siasa

Moshi. Urais ni kaa la moto ndani ya vyama vya siasa nchini na mara nyingi kuleta mtafaruku! Huu ndio mjadala unaoendelea kwa sasa baada ya makada wa vyama mbalimbali kuibuka hadharani na kupinga michakato ya uteuzi wa wagombea wao. Kwa kuegemea uzoefu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Chama cha Wananchi (CUF) mwaka 2015,…

Read More

Mashahidi 30 wamsubiri Lissu Mahakama Kuu

‎Dar es Salaam. Hatimaye kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, imehamishiwa Mahakama Kuu ya Tanzania ambako ndiko itakakosikilizwa na kuamuliwa huku Jamhuri ikitarajia kuwaita mashahidi 30 kutoa ushahidi dhidi yake na kuwasilisha vielelezo 16. Katika kesi hiyo Lissu, anakabiliwa na shitaka moja la uhaini kinyume na kifungu…

Read More

Aliyekimbia Chadema, akaingia CCM sasa atimkia Chaumma

Moshi. Zikiwa zimepita siku 47 tangu aliyekuwa Diwani wa Kiboriloni kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Frank Kagoma kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM), leo Jumatatu, Agosti 18 ametangaza kurejea upinzani kwa kutimkia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma). Kagoma, ambaye katika baraza la madiwani lililopita Manispaa ya Moshi, alikuwa diwani pekee wa Chadema,…

Read More

Simba, kipa mpya ngoma imeiva!

KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua jijini Cairo, Misri, lakini inaelezwa mabosi wa klabu hiyo wanapambana kumalizia dili na kipa mmoja kabla ya dirisha la usajili halijafungwa, na kinachoelezwa ni kwamba kuna sapraizi flani inaandaliwa ya kufungia. Mastaa wa kikosi hicho wanaendelea kujifua huko Misri ikiwa ni siku chache baada ya kuondoka Ismailia walikotumia zaidi ya…

Read More

Zanzibar yapigia chapuo ushirikiano sekta za umma, binafsi

Zanzibar. Ili kukuza uchumi wa kidijitali, upanuzi wa huduma za mtandao Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar (WUMU), Khalid Salum Mohammed amesema ni muhimu kuwe na ushirikiano zaidi kati ya sekta binafsi na umma. Amesema hayo baada ya Kampuni ya Airtel Tanzania kwa kushirikiana na Shirika la Mawasiliano Zanzibar (ZICTIA) kutia saini makubaliano ya…

Read More

Hamad Rashid na ahadi ya kuinua kilimo Zanzibar

Pemba. Mtiania kuwania urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Hamad Rashid Mohamed amesema endapo wananchi wakimchagua ataelekeza nguvu zake kwa wakulima, kilimo chao kiwe cha tija. Ametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Agosti 18, 2025 wakati akizungumza na wananchi na wafuasi wa chama hicho katika mkutano wa hadhara wa…

Read More