Mahakama Kuu yakazia kifungo cha Chadema

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imekazia kifungo cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) cha kutokufanya shughuli za kisiasa na kutumia mali zake mpaka kesi inayokikabili itakapomalizika. Mahakama hiyo imekazia kifungo hicho leo Jumatatu, Agosti 18, 2025, baada ya kutupilia mbali shauri la maombi ya marejeo lililofunguliwa na chama hicho…

Read More

China kuja na roboti inayobeba ujauzito, wataalamu wapinga

Inawezekana ni wakati wa ajabu kuishi duniani kwa sasa, dunia ilianza kushuhudia roboti zikifanya kazi mbalimbali, migahawani, kuwa dada wa kazi na hata kuolewa, lakini sasa mambo yameenda mbali zaidi kwani wanasayansi kutoka China wapo mbioni kuleta roboti zitakazokuwa na uwezo wa kubeba mimba. Tovuti ya New York Post, ilinukuu taarifa zilizochapishwa na tovuti ya…

Read More

Serikali yazuia mradi wa magadi soda ziwa Natron

Arusha. Serikali imesisitiza kuwa hakuna  leseni iliyotolewa  wala itakayotolewa  kwa ajili ya uchimbaji wa magadi soda ndani ya Ziwa Natron pamoja na tafiti kuonyesha wingi wa magadi hayo. Pamoja na hilo imezitaka kampuni zinazotamani kuchimba magadi hayo, kufanya ubia na Kampuni ya Shirika la Maendeleo (NDC) kufanya uwekezaji huo katika eneo la Engaruka wilayani Monduli….

Read More

Wanaocha shule nchini wapungua, mikoa hii bado

Dar es Salaam. Wakati wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari wanaoacha shule wakipungua kati ya mwaka 2022 hadi 2024, mikoa ya Tabora, Geita, Mwanza na Kagera bado ngoma ngumu. Ripoti ya Best Education ya mwaka 2025 iliyotolewa na Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), inaeleza kuwa idadi ya wanafunzi…

Read More

Kutoka kwa mfanyakazi wa misaada kwenda kwa wakimbizi na kurudi katika vita-vya vita vya sudan-masuala ya ulimwengu

Sudan ni moja wapo ya misiba kubwa na ngumu zaidi ulimwenguni ya kibinadamu, na zaidi ya watu milioni 30.4 – zaidi ya nusu ya idadi ya watu – wanaohitaji msaada wa kibinadamu, lakini mpango wa kibinadamu wa Sudan na mpango wa kukabiliana unapatikana sana, na asilimia 13.3 tu ya rasilimali zinazohitajika zilizopokelewa. Kulazimishwa kukimbia nchi…

Read More

Mvua yasababisha nyumba 10 kuzingirwa na maji Musoma

Musoma. Zaidi ya nyumba 10 pamoja na kituo kimoja cha afya zimezingirwa na maji kufuatia mvua zilizonyesha katika manispaa ya Musoma usiku wa kuamkia leo Agosti 18, 2025 na kusababisha mafuriko katika baadhi ya mitaa. Kufuatia hali hiyo, kituo hicho kilichopo Kata ya Bweri kinachomilikiwa na Kanisa la African Inland Church (ACT) kimelazimika kusitisha huduma…

Read More